Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI

Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na uhifadhi wa mazingira na wanyama pori la World Wide Fund for Nature (WWF), limejiunga katika jitihada za kitaifa na kimaifa za kupambana na ujangili nchini ambapo pamoja na mambo mengine limetoa mabango yanayotahadharisha wananchi na wageni waingiao na watokao Tanzania kutojihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na ujangili wa wanyama.
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

WWF watoa mabango ya kukabili ujangili nchini

001

Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa jijini Dar es salaam, Bw. Moses Malaki (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati wa hafla ya kukabidhiwa mabango yanayotahadharisha wananchi na wageni waingiao na watokao Tanzania kutojihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na ujangili wa wanyama (kushoto), Mkurugenzi wa WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na...

 

10 years ago

Michuzi

Vita ya ujangili yaungwa mkono,Kikosi cha kupambana na Ujangili chapata zana za kisasa

Kikosi cha kupambana na ujangili nchini kimepata vitendea kazi kutoka kwa wadau wa sekta ya utalii vitakavyowezesha kukabiliana na matukio ya ujangili yaliyoshika kasi nchini na kuhatarisha kutoweka baadhi ya wanyama.
Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni magari matano aina ya Land Cruser yenye thamani ya Sh 750 milioni,bunduki za kivita 50 aina ya Ak 47 na risasi 10,000 na Magazini 20 ambazo thamani haikutajwa kwa kwasababu za kiusalama.
Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tumeshindwa kupambana na ujangili?

KATIKA gazeti hili jana, kulikuwa na taarifa ya watu sita wanaodhaniwa majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Afrika Mashariki kupambana na ujangili

KATIKA juhudi za kupambana na ujangili nchini, Tanzania inatarajiwa kusaini makubaliano na nchi za Afrika Mashariki ili kuweza kuzuia na kuwachukulia hatua wanaojihusisha na biashara hiyo. Akizungumza wakati wa kutoa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mpango kupambana na ujangili wazinduliwa

WIZARA ya Maliasili na Utalii imezindua mpango mkakati wa kimataifa wa kupambana na ujangili wa meno ya tembo na kujipanga kimkakati ili kukamilisha mchakato wa kuanzishwa kwa Mamlaka ya Hifadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

WWF kuwekeza nchini

SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) limeamua kuwekeza nchini, ili maliasili zilizopo ziweze kuwanufaisha wananchi na serikali. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi katika uzinduzi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Afrika Mashariki unganeni kupambana na ujangili’

Nchi za Afrika zimetakiwa kubadilishana uzoefu wa kudhibiti vitendo vya ujangili wa tembo na faru la sivyo, wanyama hao watapotea Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani