WWF kuwekeza nchini
SHIRIKA lisilokuwa la kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira Duniani (WWF) limeamua kuwekeza nchini, ili maliasili zilizopo ziweze kuwanufaisha wananchi na serikali. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi katika uzinduzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWWF KUPAMBANA NA UJANGILI NCHINI
Akikabidhi vifaa hivyo Novemba 27, 2014 jijini Dar es Salaam kwa Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa...
10 years ago
Dewji Blog28 Nov
WWF watoa mabango ya kukabili ujangili nchini
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wa jijini Dar es salaam, Bw. Moses Malaki (kulia), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati wa hafla ya kukabidhiwa mabango yanayotahadharisha wananchi na wageni waingiao na watokao Tanzania kutojihusisha na shughuli yoyote inayohusiana na ujangili wa wanyama (kushoto), Mkurugenzi wa WWF Tanzania Bw. Bell’Aube Houinato.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Shirika lisilokuwa la kiserikali linalojihusisha na...
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wawekezaji 65 kuwekeza nchini
ZAIDI ya wawekezaji 65 wanatarajiwa kuja nchini kuwekeza katika sekta mbalimbali za maendeleo ikiwemo viwanda na utalii. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alibainisha hayo...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
EPZA yashawishi China kuwekeza nchini
10 years ago
MichuziWWF YATOA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA IDARA ZA HALMASHAURI YA MANSIPAA YA KINONDONI KMC JUU YA KUKABILIANA NA UENEAJI WA HEWA UKAA NA NISHATI JADIDIFU NCHINI
11 years ago
MichuziWANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
11 years ago
Habarileo22 Jan
Paras India yaonesha nia kuwekeza afya nchini
UJUMBE wa uongozi wa juu wa Shirika la Afya la Paras la nchini India linalomiliki hospitali za ngazi ya kimataifa, umewasili jijini Dar es Salaam jana ambapo pamoja na mambo mengine umeanza mchakato kuwekeza katika sekta ya afya. Ujumbe huo ukiongozwa na Naibu Meneja wa Hospitali hizo anayehusika na Uhusiano wa Kimataifa, Anuradha Sharma, ulipokelewa na Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Yono Auction Mart ambaye ni Mbunge wa zamani wa Njombe Magharibi, Yono Kevela.
9 years ago
StarTV29 Dec
Watanzania wahimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi
Watanzania wamehimizwa kuwekeza nchini ili kuimarisha sekta ya uchumi hususani kupitia viwanda ambavyo vitazalisha bidhaa bora zitakazouzwa nje ya nchi na kujipatia fedha za kigeni.
Hivi sasa Tanzania inatajwa kuingiza bidhaa nyingi kutoka nchi za nje hali inayosababisha kudorora kwa shilingi ya Tanzania dhidi ya fedha za kigeni hususani dola ya kimarekani.
Kwa kiasi kikubwa Tanzania inauza bidhaa ghafi nje ya nchi ambazo thamani yake inakuwa chini wakati uingizwaji wa bidhaa mbalimbali...
10 years ago
MichuziHUAWEI YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA SECTA YA ICT NCHINI TANZANIA