WANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
Mwandishi wa kitabu kinachoelezea namna watanzania na makampuni ya usambazaji ya hapa Tanzania yanavyoweza kushiriki, kuwezeshwa na kunufaika na sekta ya nishati ya gesi asilia hapa.Bi. Neema Lugangilra Apson akielezea maudhui ya Kitabu chake kwa wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kitabu chake jana usiku jijini Dar es Salaam.
Mgeni Rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu kinachoeleza namna watanzania na makampuni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Miradi ya madini, gesi inavyotesa wananchi
11 years ago
MichuziNORWAY YADHAMIRIA KUWEKEZA LINDI KATIKA SEKTA YA GESI NA UVUVI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0jHIzFcD9s0/Xk4PmDtOicI/AAAAAAALeZw/Y9VaGlNX39wLvurWhB7k65YD5PWTds1ggCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1582140698943.jpg)
USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI WASISITIZWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0jHIzFcD9s0/Xk4PmDtOicI/AAAAAAALeZw/Y9VaGlNX39wLvurWhB7k65YD5PWTds1ggCLcBGAsYHQ/s1600/FB_IMG_1582140698943.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/FB_IMG_1582140667519.jpg)
………………………………………………………………… Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amesisitiza uwepo wa umuhimu wa ushirikishwaji wa Wananchi kwenye shughuli za kimaendeleo za Kiserikali ili kuimarisha dhana nzima ya utawala bora nchini.
Gavana Shilatu ameyasema hayo alipotembelea mradi wa ujenzi wa Zahanati unaondelea Kijiji cha Lembela kata ya Mihambwe ambapo hakufurahishwa na kitendo cha Wananchi kutojumuishwa kwenye kamati mbalimbali za Halmashauri ya Serikali ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s72-c/unnamed.jpg)
UNDP “yaipiga jeki” Serikali namna ya kuandaa, kujadili na kusimamia miradi mikubwa na mikataba ya gesi asilia Nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wpFlWBEIuOU/VXVPFND6mPI/AAAAAAAHc_U/1IuRBJgHxrg/s72-c/unnamedmmmm.jpg)
HUAWEI YAENDELEA KUWEKEZA KATIKA SECTA YA ICT NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-wpFlWBEIuOU/VXVPFND6mPI/AAAAAAAHc_U/1IuRBJgHxrg/s640/unnamedmmmm.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ciG5yRxlT_M/VXVPFQ51hWI/AAAAAAAHc_Y/54_rN18hPQ8/s640/unnamedmmmmy.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dXJPhE6sioY/U4197Y2904I/AAAAAAAFnVk/Lk2zILe4ToM/s72-c/4f2dEngineers-work-on-the-pipeline.jpg)
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXJPhE6sioY/U4197Y2904I/AAAAAAAFnVk/Lk2zILe4ToM/s1600/4f2dEngineers-work-on-the-pipeline.jpg)
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye jina la Kusimamia Maliasili: Wananchi wanasemaje? Utafiti huu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s72-c/image.jpg)
SHULE ZA SEKONDARI NCHINI ZASHAURIWA KUWEKEZA KATIKA MATUMIZI YA NISHATI ENDELEVU YA BIOGESI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8E26RAgPpus/VfFMBn-4xZI/AAAAAAAH3w8/bLf1f9RYsjo/s640/image_2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule za Sekondari nchini zashauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi
Mkuu wa Shule ya Sekondari Manzese Bw.Linus Mwakasege akitoa ufafanusi kwa waandishi wa habari kuhusu manufaa ya mradi wa nishati endelevu ya Biogesi utakavyowanufaisha wanafunzi wa shule hiyo. (Picha zote na Aron Msigwa-MAELEZO).
Aron Msigwa-MAELEZO
9/9/2015.Dar es salaam.
Shule za Sekondari kote nchini zimeshauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi na majiko sanifu ili kulinda na kuhifadhi mazingira.
Ushauri huo umetolewa na Meneja Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji...