USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI WASISITIZWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0jHIzFcD9s0/Xk4PmDtOicI/AAAAAAALeZw/Y9VaGlNX39wLvurWhB7k65YD5PWTds1ggCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1582140698943.jpg)
………………………………………………………………… Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amesisitiza uwepo wa umuhimu wa ushirikishwaji wa Wananchi kwenye shughuli za kimaendeleo za Kiserikali ili kuimarisha dhana nzima ya utawala bora nchini.
Gavana Shilatu ameyasema hayo alipotembelea mradi wa ujenzi wa Zahanati unaondelea Kijiji cha Lembela kata ya Mihambwe ambapo hakufurahishwa na kitendo cha Wananchi kutojumuishwa kwenye kamati mbalimbali za Halmashauri ya Serikali ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Vijana Afrika wataka ushirikishwaji
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana Afrika (PYU) imewataka viongozi wa nchi hizo kutoa kipaumbele kwa vijana na kuwashirikisha katika kufanya uamuzi ngazi za juu unaohusu kundi hilo kusaidia kupunguza changamoto zilizopo.
Rais wa jumuiya hiyo, Francine Mayumba, alisema dare s Salaam jana kuwa tatizo la ushiriki mdogo wa vijana katika ngazi za uamuzi katika nchi za Afrika husababisha kundi hilo kutotimiziwa mahitaji yao ya msingi.
“Tunataka kuondoa tatizo la kufanya...
10 years ago
Habarileo02 Jan
Madereva wasisitizwa kufuata sheria
KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika mkoa wa Dodoma.
10 years ago
GPLWASANII WASISITIZWA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mPrLijy9flE/VaO-I92Wt9I/AAAAAAAHpW4/sxBHyDwAfLY/s72-c/Picha%2Bna%2B1..jpg)
WATAKWIMU WA NCHI ZA AFRIKA WASISITIZWA KUZINGATIA WELEDI NA UWAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPrLijy9flE/VaO-I92Wt9I/AAAAAAAHpW4/sxBHyDwAfLY/s640/Picha%2Bna%2B1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aN8aVHhBT64/VaO-KC9Z7CI/AAAAAAAHpXA/yUtNSXa2Z8A/s640/Picha%2Bna%2B2.jpg)
5 years ago
MichuziMAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Wanahabari Visiwani Zanzibar wasisitizwa kufuata sheria za Habari zilizopo!!
Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Zanzibar Press Club ZPC wakiwa katika Picha ya pamoja na Mgeni rasmi wa Mkutano huo Dkt. Aboubakar Rajab wakatikati waliokaa huko Hoteli ya Zanzibar Ocean mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar
Na Maelezo Zanzibar
[ZANZIBAR] Wanahabari wametakiwa kuendelea kutii Sheria zilizopo zinazoongoza mwenendo wa utoaji wa habari nchini, huku Taasisi za kihabari zikiendelea kufuatilia upatikanaji wa sheria Bora za habari zinazoendana na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s72-c/unnamed%2B(75).jpg)
SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-7FSFx2brVXI/VBrPGqHWEbI/AAAAAAAGkQ8/y-GlMjFynOc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hPjaf_89fwI/VBrPCfElBeI/AAAAAAAGkQk/2vucvxi2qlk/s1600/unnamed%2B(76).jpg)