Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI WASISITIZWA








………………………………………………………………… Na Mwandishi wetu Mihambwe 
Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amesisitiza uwepo wa umuhimu wa ushirikishwaji wa Wananchi kwenye shughuli za kimaendeleo za Kiserikali ili kuimarisha dhana nzima ya utawala bora nchini. 
Gavana Shilatu ameyasema hayo alipotembelea mradi wa ujenzi wa Zahanati unaondelea Kijiji cha Lembela kata ya Mihambwe ambapo hakufurahishwa na kitendo cha Wananchi kutojumuishwa kwenye kamati mbalimbali za Halmashauri ya Serikali ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI

Mwandishi wa kitabu kinachoelezea namna watanzania na makampuni ya usambazaji ya hapa Tanzania yanavyoweza kushiriki, kuwezeshwa na kunufaika na sekta ya nishati ya gesi asilia hapa.Bi. Neema Lugangilra Apson akielezea maudhui ya Kitabu chake kwa wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kitabu chake jana usiku jijini Dar es Salaam.  Mgeni Rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu kinachoeleza namna watanzania na makampuni ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana Afrika wataka ushirikishwaji

Na Aziza Masoud, Dar es Salaam

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana Afrika (PYU) imewataka viongozi wa nchi hizo kutoa kipaumbele kwa vijana na kuwashirikisha katika kufanya uamuzi   ngazi za juu unaohusu kundi hilo   kusaidia kupunguza changamoto zilizopo.

Rais wa jumuiya hiyo, Francine Mayumba, alisema dare s Salaam jana kuwa tatizo la ushiriki mdogo wa vijana katika ngazi za uamuzi katika nchi za Afrika husababisha kundi hilo kutotimiziwa mahitaji yao ya msingi.

“Tunataka kuondoa tatizo la kufanya...

 

10 years ago

Habarileo

Madereva wasisitizwa kufuata sheria

KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika mkoa wa Dodoma.

 

10 years ago

GPL

WASANII WASISITIZWA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII

Mdau wa Sanaa Henry Mdimu (Kulia) akisisitiza umuhimu wa kuwa na mitandao ya kijamii kwa wasanii (hawapo pichani) katika Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA). Kushoto ni Afisa Sanaa wa BASATA, Augustino Makame. Afisa Habari wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Aristides Kwizela (Kulia) akisisitiza jambo kwa Wasanii (Hawako pichani) wakati wa Jukwaa la Sanaa lililofanyika mapema wiki kwenye Ukumbi wa Baraza hilo...

 

10 years ago

Michuzi

WATAKWIMU WA NCHI ZA AFRIKA WASISITIZWA KUZINGATIA WELEDI NA UWAZI

 Mwakilishi wa Benki ya Afrika (ADB) nchini Tanzania Tonia Kandiero akizungumza na washiriki wa Warsha  ya Kimataifa ya Watakwimu kutoka nchi za Afrika zinazozungumza lugha ya kiingereza juu ya ushiriki wa ADB katika masuala ya Takwimu katika Bara la Afrika leo jijini Dar es salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. albina Chuwa akiwakaribisha nchini Tanzania washiriki wa mkutano wa kimataifa wa Watakwimu kutoka nchi za Afrika zinazozungumza lugha ya kiingereza leo ...

 

5 years ago

Michuzi

MAREKANI YARIDHISHWA NA HATUA ZA TANZANIA KATIKA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE

 Marekani imeeleza kufurahishwa na mafanikio ya Tanzania katika masuala ya ushirikishwaji wa wanawake katika ngazi za uongozi wa kisiasa na maamuzi na hatua zilizochukuliwa kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata elimu bora na salama.
Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na mshauri wa Rais Trump kuhusu masuala ya maendeleo ya wanawake Balozi Kelley Currie mazungumzo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Visiwani Zanzibar wasisitizwa kufuata sheria za Habari zilizopo!!

06

 Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Zanzibar Press Club ZPC wakiwa katika Picha ya pamoja na Mgeni rasmi wa Mkutano huo Dkt. Aboubakar Rajab wakatikati waliokaa huko Hoteli ya Zanzibar Ocean mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar 

Na Maelezo Zanzibar

[ZANZIBAR] Wanahabari wametakiwa kuendelea kutii Sheria zilizopo zinazoongoza mwenendo wa utoaji wa habari nchini, huku Taasisi za kihabari zikiendelea kufuatilia upatikanaji wa sheria Bora za habari zinazoendana na...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI, MAKAMPUNI YA MADINI ‘KUWANOA’ WAZAWA KATIKA USHIRIKISHWAJI SEKTA YA MADINI

Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje akiwakaribisha wajumbe wa mkutano wa kujadili ushirikishwaji wazawa (local content) katika sekta ya madini uliofanyika jijini Mwanza hivi karibuni. Waliokaa meza kuu kutoka kushoto ni Kamishna Msaidizi Kitengo cha Uchumi na Biashara, Salim Salim, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Ndalo Kulwijila na Mkuu wa Wilaya ya Tarime, John Henjewele. Mwanasheria wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Rose Mponguliana akiwasilisha mada kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani