Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madereva wasisitizwa kufuata sheria

KAMPENI ya usalama barabarani ya kuwataka madereva nchini kuzingatia sheria za usalama barabarani iliyozinduliwa hivi karibuni na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe jana imeendelea katika mkoa wa Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Visiwani Zanzibar wasisitizwa kufuata sheria za Habari zilizopo!!

06

 Baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Zanzibar Press Club ZPC wakiwa katika Picha ya pamoja na Mgeni rasmi wa Mkutano huo Dkt. Aboubakar Rajab wakatikati waliokaa huko Hoteli ya Zanzibar Ocean mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar 

Na Maelezo Zanzibar

[ZANZIBAR] Wanahabari wametakiwa kuendelea kutii Sheria zilizopo zinazoongoza mwenendo wa utoaji wa habari nchini, huku Taasisi za kihabari zikiendelea kufuatilia upatikanaji wa sheria Bora za habari zinazoendana na...

 

10 years ago

Habarileo

Waajiri watakiwa kufuata sheria

MWENYEKITI mpya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) amewataka waajiri na wafanyakazi wote nchini kufuata Sheria na Taratibu za Kazi, kwani uvunjwaji wake ndio chanzo kikubwa cha uwepo wa migogoro mingi inayowasilishwa kwenye tume hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

NGOs zatakiwa kufuata sheria

MASHIRIKA yasiyo ya serikali(NGOs) yamekumbushwa kufanya kazi bila ubaguzi na kuhakikisha yanafuata taratibu na sheria za usajili wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM watakiwa kufuata sheria

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, amewataka wanasiasa wanaofanya mikutano ya hadhara katika majimbo yao kuacha mara moja kwani ni kuvunja sheria...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumatra yasisitiza UDA kufuata sheria

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi Kavu na Majini (Sumatra), imesisitiza Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) kutakiwa kufuata taratibu zote za usafirishaji kama ilivyo kwa daladala nyingine....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bodaboda Geita watakiwa kufuata sheria

JESHI la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Geita, limewataka waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda na baiskeli kuacha tabia ya kuingia kwenye barabara kubwa bila kufuata sheria za barabarani. Akizungumza...

 

9 years ago

StarTV

Wachimbaji watakiwa kufuata sheria ya uchimbaji

Kamati maalum iliyoundwa na Serikali kushughulikia tatizo la muingiliano ndani ya migodi ya madini katika machimbo ya Madini ya TANZANITE Mirerani, imetoa uamuzi wa kuwataka wachimbaji wote kufuata sheria ya uchimbaji kulingana na leseni zao.

Hatua hiyo inatazamiwa kwamba huwenda ikasaidia kutatua matatizo ya mara kwa mara baina ya wachimbaji wadogo na wakubwa wanapokutana chini ya ardhi tukio linalofahamika zaidi kwa jina la “MTOBOZANO”

Awali Serikali iliamua kuunda kamati maalumu...

 

10 years ago

Habarileo

DC Missenyi aahidi kufuata sheria, taratibu

MKUU mpya wa Wilaya ya Missenyi mkoani Kagera, Fadhir Nkurlu amewaahidi wananchi wa wilaya hiyo na uongozi wa mkoa huo kufanya kazi kwa misingi ya sheria na taratibu za nchi pasipo kumuonea mtu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis  Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea  hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani