Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vyama vyote vya siasa ni sawa- Jaji Mutungi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s72-c/IMG_6957.jpg)
JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s1600/IMG_6957.jpg)
Athari za migogoro hii ni nyingi, ikiwemo chama cha kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, kupoteza mvuto kwa jamii na wanachama wake, ukosefu wa amani na utulivu ndani ya chama na kupoteza sifa za usajili.Hivi sasa mfumo wa demokrasi ya vyama vingi vya siasa una takribani miaka...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa
MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.
9 years ago
VijimamboJAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.
Na: Hassan Hamad, OMKR....
9 years ago
Michuzikuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-62eN4c8yAnQ/UxclGtv9wpI/AAAAAAAFRN0/5x3g8jD86pw/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi atembelea bunge mjini Dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-62eN4c8yAnQ/UxclGtv9wpI/AAAAAAAFRN0/5x3g8jD86pw/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l0tmibhN7XI/UxclMxImF6I/AAAAAAAFROM/QTQG3FMAQt4/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-samgjjW25y0/UxclL35G92I/AAAAAAAFRN8/KANmXcnW3Pg/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dUa3JqCW2zA/UxclMbm35uI/AAAAAAAFROA/PSGzR57WE0c/s1600/unnamed+(19).jpg)
9 years ago
Habarileo21 Oct
Pinda avitaka vyama kukubali matokeo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema demokrasia ya kweli ni kukubali ukweli, hivyo wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili, wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo pindi watakaposhindwa.
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mutungi awashukia viongozi wa vyama
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...