Jaji Mutungi ataka sheria za uchaguzi kuzingatiwa
MSAJILI wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vinavyoshiriki katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika katika majimbo ya Kalenga, mkoani Iringa na Chalinze, Bagamoyo mkoani Pwani kuzingatia kanuni na sheria zote za uchaguzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-q_72PEWLk1M/ViFLcosH3BI/AAAAAAAIAb0/VDA3h0eJevY/s72-c/DSC_1176.jpg)
AMANI NDIO SILAHA YA MTANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU-JAJI MUTUNGI
Mtungi aliyasema hayo alipokutana na wahariri wa vyombo vya habari katika kusisitiza amani katika uchaguzi mkuu na kutaka waandishi kutumia kalamu vizuri kwani amani ikiharibika hakuna anayebaki salama.
Amesema matatizo ambayo yameanza kutokea katika kamapeni yanayotokana na mtu...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wataka sheria za usalama barabarani kuzingatiwa
BAADHI ya washindi wa pikipiki kutoka promosheni ya Jishindie Bodaboda inayoendeshwa na Kampuni ya Vodacom wamehimiza umuhimu wa vyombo vinavyohusika na usalama barabarani kuchukua hatua za makusudi kuimarisha usalama ili...
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Jaji Mutungi atangaza vita
Wanachama vyama vyote nchini kuhakikiwa Teknolojia mpya kutumika kubaini ubabaishajiNA RABIA BAKARIUBABAISHAJI na uendeshaji wa ujanja ujanja wa baadhi ya vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumua nchini, umeanza kuitisha Ofisi ya Msajili na sasa inajiandaa kuvifanyia uhakiki ili kubaini udanganyifu.Hatua hiyo inalenga kufichuliwa kwa vyama vyote vinavyoendeshwa kwa ujanja ujanja ama kutokuwa na vigezo vya kuendelea kuwa na usajili wa kudumu kutokana na mabadiliko mbalimbali.Habari za...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
Msajili avinyoshea kidole vyama vya siasa, ataka viheshimu Sheria ya Uchaguzi
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Jaji Mutungi: Hali ngumu Katiba mpya
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Jaji Mutungi: Ruzuku ni changamoto kwa Ukawa
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Jaji Mutungi ajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura
Zikiwa zimebakia siku chache tu kuisha kwa siku zilizotengwa na Serikali kwa wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura kwa mfumo wa BVR katika Jiji la Dar es salaam.
Mwandikishaji Msaidizi Bi. Maida Ally Yusufu akimsainisha Jaji Mutungi fomu ambazo zimebeba taarifa zake kwa ajili ya kujiandikisha Leo katika kituo cha Shule ya Msingi Bunge Jijini Dar es salaam.
Alama za vidole zikichukuliwa na Mwandikishaji Bw. Ernest Moses Selelya mara baada ya kukamilisha taratibu za...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Jaji Mutungi atafuta upenyo kuwarejesha Ukawa bungeni
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi ameingilia kati kuondoa changamoto zilizojitokeza katika awamu ya mchakato ya Bunge Maalumu la Katiba ambalo baadhi ya wafuasi wa kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wengi wakiwa viongozi wa vyama vya upinzani, walisusia.