Mutungi awashukia viongozi wa vyama
Viongozi wakuu wa Kitaifa wa CCM, Chadema, CUF na NCCR –Mageuzi wametakiwa kuweka kando tofauti zao ili kunusuru mchakato wa kupatikana Katiba mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzikuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi
Na: Hassan Hamad, OMKR.
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
9 years ago
VijimamboJAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.
Na: Hassan Hamad, OMKR....
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Jaji Mutungi avitaka vyama kufuata sheria
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi imevitaka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ndogo unaoendelea hivi sasa katika jimbo la Kalenga na ule wa Chalinze kuzingatia kanuni...
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vyama vyote vya siasa ni sawa- Jaji Mutungi
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amesema, ofisi yake haina chama kikubwa na kidogo na kwamba inahudumia vyama vyote vilivyosajiliwa kwa hadhi inayofanana.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s72-c/IMG_6957.jpg)
JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s1600/IMG_6957.jpg)
Athari za migogoro hii ni nyingi, ikiwemo chama cha kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, kupoteza mvuto kwa jamii na wanachama wake, ukosefu wa amani na utulivu ndani ya chama na kupoteza sifa za usajili.Hivi sasa mfumo wa demokrasi ya vyama vingi vya siasa una takribani miaka...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-62eN4c8yAnQ/UxclGtv9wpI/AAAAAAAFRN0/5x3g8jD86pw/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi atembelea bunge mjini Dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-62eN4c8yAnQ/UxclGtv9wpI/AAAAAAAFRN0/5x3g8jD86pw/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l0tmibhN7XI/UxclMxImF6I/AAAAAAAFROM/QTQG3FMAQt4/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-samgjjW25y0/UxclL35G92I/AAAAAAAFRN8/KANmXcnW3Pg/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dUa3JqCW2zA/UxclMbm35uI/AAAAAAAFROA/PSGzR57WE0c/s1600/unnamed+(19).jpg)
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mutungi: Viongozi wa siasa watulizeni wafuasi wenu
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amewataka viongozi wa vyama kutoa maelekezo kwa wafuasi na wanachama wao kutoshiriki katika vitendo vya uvunjifu wa amani.
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Slaa awashukia viongozi wa Serikali
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amesema tatizo la umaskini linalowakabili Watanzania, linatokana na viongozi walioko madaraka kutokuwa waadilifu.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
 Viongozi wanaotokana na Chama cha Mapinduzi (CCM), wametakiwa kushughulikia matatizo ya wananchi badala ya kuunda kamati kwa ajili ya kufuatilia makosa yanayofanywa na baadhi ya watendaji.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania