Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi atembelea bunge mjini Dodoma leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-62eN4c8yAnQ/UxclGtv9wpI/AAAAAAAFRN0/5x3g8jD86pw/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi akiwasili katika ofisi za bunge mjini Dodoma Leo
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi akisalimiana na Mhe.James Lembeli
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi akisalimiana na Mhe. Muhammad Seif Khatibu.
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi, akijadiliana na Mhe.Seif Khatib (kushoto) na Mhe.Simbachawene. Pamoja na mambo mengine Jaji Mutungi ameelezea kuridhishwa na mwenendo wa mjadala wa Bunge maalumu la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Vyama vyote vya siasa ni sawa- Jaji Mutungi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s72-c/IMG_6957.jpg)
JAJI MUTUNGI AVIONYA VYAMA VYA SIASA VINAVYOENDEKEZA MIGOGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4MR1TqB8FFc/VLwP61taVgI/AAAAAAABN_o/L3qhU-mql78/s1600/IMG_6957.jpg)
Athari za migogoro hii ni nyingi, ikiwemo chama cha kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, kupoteza mvuto kwa jamii na wanachama wake, ukosefu wa amani na utulivu ndani ya chama na kupoteza sifa za usajili.Hivi sasa mfumo wa demokrasi ya vyama vingi vya siasa una takribani miaka...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s72-c/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4k8IbczM2M/UxljVIAWppI/AAAAAAACbxc/ZX0IqIzw4UU/s1600/IMG_7273.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
9 years ago
VijimamboJAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.
Na: Hassan Hamad, OMKR....
9 years ago
Michuzikuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU