Slaa awashukia viongozi wa Serikali
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amesema tatizo la umaskini linalowakabili Watanzania, linatokana na viongozi walioko madaraka kutokuwa waadilifu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mutungi awashukia viongozi wa vyama
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Diwani CHADEMA awashukia viongozi
MWENYEKITI wa Madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Kinondoni, Boniface Jacob amewashukia baadhi ya viongozi wa manispaa hiyo na mkoa wa Dar es Salaam, kwa kutoa...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Kinana awashukia viongozi goigoi
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-gkzq3_sw3Bw/XkRGgIMMdFI/AAAAAAAAmps/BLdjWqes1IsVMKf2QD5BDnOamia__VfWwCLcBGAsYHQ/s72-c/O.jpg)
RC KAGERA AWASHUKIA VIONGOZI NGAZI ZOTE
![](https://1.bp.blogspot.com/-gkzq3_sw3Bw/XkRGgIMMdFI/AAAAAAAAmps/BLdjWqes1IsVMKf2QD5BDnOamia__VfWwCLcBGAsYHQ/s1600/O.jpg)
Na Lydia Lugakila-: Kagera
Mkuu wa mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti ameagiza viongozi wa ngazi zote mkoani Kagera kuacha Mara moja masuala ya migogoro na mivutano inayovuruga amani na kukwamisha maendeleo ya mkoa na taifa kwa ujumla.
Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti ametoa agizo hilo katika kikao maalum cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa...
9 years ago
Dewji Blog23 Sep
Karsan awashukia viongozi wa dini, wanahabari
Mgeni rasmi Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), Zulmira Rodrigues (wa pili kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza kushiriki maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Amani duniani ambapo kitaifa yamefanyika jijini Mwanza. Kushoto ni Msajili wa Vyama vya Siasa nchini,...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Viongozi wametafuna fedha za Benki ya Dunia, asema Dk Slaa
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Viongozi wa dini waionya Serikali