Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali

ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Profesa Mwandosya amshika pabaya Dk. Slaa

MwandosyaNa Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya ‘amemvaa’ Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa na kusema kwamba kiongozi huyo amekosa uzalendo kwa hatua yake ya kuizungumza vibaya Tanzania akiwa nje ya nchi.
Profesa Mwandosya alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora, Uhusiano na Uratibu kwa mwaka wa fedha...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashikwa pabaya bungeni

Kashfa ya zaidi ya Sh200 bilioni za Akaunti ya Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua sura mpya baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kudai kuwapo kwa watu wanaonunua mashahidi.

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu nchini waishika ‘pabaya’ Serikali

>Baraza la Walimu Tanzania(CWT), limesema ifikapo mwishoni wa Februari, mwaka huu, Serikali haijakamilisha madai yao yakiwamo malimbikizo ya mshahara Sh40 bilioni watatangaza mgogoro na Serikali.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa dini waiweka Serikali pabaya kuhusu Katiba Mpya

Dar es Salaam. Viongozi wa dini za Kikristo na Kiislamu wameendelea kuiweka Serikali katika wakati mgumu baada ya kusema hawataiunga mkono Katiba Inayopendekezwa ikiwa matakwa yao hayatazingatiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aiweka sawa Dar

SIKU tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameunguruma Dar es Salaam na kutoa wosia kwa Watanzania kwamba wanatakiwa kupiga kura kwa umakini ili wamchague kiongozi mwenye maamuzi makini na si maamuzi magumu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda

 Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Slaa awashukia viongozi wa Serikali

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa amesema tatizo la umaskini linalowakabili Watanzania, linatokana na viongozi walioko madaraka kutokuwa waadilifu.

 

10 years ago

Vijimambo

RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Zanzibar, akitafakari wakati rasimu hiyo ikisomwaWasanii wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, waliochangia pakubwa haki za wasanii kutambuliwa kwenye katiba inayopendekezwa mmoja wao ni Martha Mlata amaye naye ni msanii wa nyimbo za injiliWaziri MkuuMstaafu na Mbunge wa jimbo la Monduli mkoani Arusha, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanavikundi waliofika bungeni kusikiliza rasimu ya katiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani