Vardy aiweka Leicester matatani
Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo504 Jan
Mshambuliaji wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
![151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy atakuwa nnje ya wa uwanja kwa wiki mbili baada ya kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa timu ya taifa Uingereza amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mtoki wake, kituo cha redio cha BBC cha Leicester kimeripoti.
Vardy amekuwa na msimu mzuri sana hadi saivi ana mabao 15 aliyoyafunga Ligi ya Premia yamesaidia Bweha hao kupanda hadi nambari mbili ligini.
Mchezaji huyo wa umri wa miaka 28 amechezea klabu hiyo mechi 24 msimu huu.
Vardy alicheza...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Nyota wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...
5 years ago
FOX Sports Asia10 Mar
Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Ubaguzi wawatia matatani Leicester
9 years ago
Habarileo22 Oct
Magufuli aiweka sawa Dar
SIKU tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameunguruma Dar es Salaam na kutoa wosia kwa Watanzania kwamba wanatakiwa kupiga kura kwa umakini ili wamchague kiongozi mwenye maamuzi makini na si maamuzi magumu.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/2649/production/_87210890_raneirihappy.jpg)
Vardy and Mahrez priceless - Ranieri