Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mshambuliaji wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji

151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy atakuwa nnje ya wa uwanja kwa wiki mbili baada ya kufanyiwa upasuaji.

2FBE056100000578-0-image-a-7_1451852909151

Mchezaji huyo wa timu ya taifa Uingereza amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mtoki wake, kituo cha redio cha BBC cha Leicester kimeripoti.

Vardy amekuwa na msimu mzuri sana hadi saivi ana mabao 15 aliyoyafunga Ligi ya Premia yamesaidia Bweha hao kupanda hadi nambari mbili ligini.

Mchezaji huyo wa umri wa miaka 28 amechezea klabu hiyo mechi 24 msimu huu.

Vardy alicheza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji

Mshambuliaji nyota wa Leicester City Jamie Vardy hataweza kucheza kwa wiki mbili baada yake kufanyiwa upasuaji mdogo.

 

9 years ago

Mtanzania

Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili

VardyLONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.

Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.

Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Kocha wa timu ya...

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win  FOX Sports AsiaLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comAston Villa v. Leicester City | PREMIER LEAGUE HIGHLIGHTS | 3/9/2020 | NBC Sports  NBC SportsLeicester City 3-0 Aston Villa live - Jamie Vardy brace and Harvey Barnes strike have Foxes in control  Leicestershire LiveWill Samatta be successful against Leicester City the second time around?  goal.comView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wawatia matatani Leicester

Wachezaji watatu wa Leicester City wamejikuta matatani kutokana na tabia ya ubaguzi nchini Thailand

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aiweka sawa Dar

SIKU tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameunguruma Dar es Salaam na kutoa wosia kwa Watanzania kwamba wanatakiwa kupiga kura kwa umakini ili wamchague kiongozi mwenye maamuzi makini na si maamuzi magumu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali

ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda

 Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.

 

9 years ago

BBC

Vardy and Mahrez priceless - Ranieri

Leicester boss Claudio Ranieri says Jamie Vardy and Riyad Mahrez are not for sale after they inspired a win over Chelsea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani