Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda
 Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo09 Oct
kura ya maoni njiapanda
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2480020/highRes/846807/-/maxw/600/-/rqkp8uz/-/kura.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini
![](http://4.bp.blogspot.com/-fhPygtaQPtk/Vb4bsbbpRKI/AAAAAAAHtTo/oHcxbFJRyxs/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto 6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri 385Brian Baraka 263
![](http://1.bp.blogspot.com/-LMP3afylAhU/Vb4bssanzKI/AAAAAAAHtTw/-b5C-BzlmoM/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KURA ZA MAONI CHALINZE
Ndg.Ridhiwani Kikwete Mgombea wa ubunge katika Kura za Maoni za CCM jimbo la Chalinze akijipigia Kura leo. ...akipanga mstari (katikati) katika uwakilishi wa Kata anayotoka ya Msoga. Matokeo:
Ridhiwani Kikwete kashinda kwa kupata kura 758 kati ya kura 1321,
Ilikuwa hivi:_
1.Ridhiwani…
11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshinda kwa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kupitia CCM. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo kijijini Msata. Ridhiwani Kikwete amepata kura kura 758 kati ya kura 1321 zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu mdau wa soka Shaaban Iman Madega akiwa na kura 335.
Wapiga kura za maoni kumchagua mgombea wa kiti cha Ubunge cha Chalinze wakiwa tayari kupiga kura zao leo Msata, Chalinze
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7bXsQR_1gaLa7cRRVzAXfADetD4o2SOl9jc7ZQonhbTM8FaSWtQNSYY_YZT8qVVfEEo-Zfd1Bfan5ZzXl08AuI0VZj3CZT3zsTnQEeqD0FUl1h97z3xuHrSTQYRVyWg2OmVLsZ6KHA2CWVWP-tSSA6r8=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1/1962798_688078337922818_1898229911_n.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-BD7UFpa8hDduwraU9_uWGk4YkaHHpHgpINhFkkKhkBbKslIZadA3vpQ1p3FF4r72KTnX-ovXlkOP32knyPj0fy8GTYHbT8cwHFw7RoLhi5_Vj4-aUjSlgdBcYq8y3NMeI7-8yOgEAjnCo-vT5gNfAY=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/1922466_688078064589512_148624167_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Bu9WYA5mJwvcX19hrsenqb5DuL7pVzxMLkRFin4NbHPIFybr_XlIPWdYxAAcMHXVDo6pxPh2uxXM0MBYoUPbgskD_obGfyOh5bIRxMRsfYzFPKe_T6sLVwVz3Xxb3RWPGLUnLBsBZpGofcyUU7Prmzp-=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/10003938_688090411254944_622046925_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s72-c/b5.jpg)
RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJU_KKHsRGM/VCLVWSKvvNI/AAAAAAAAL_s/ESTBsy5e-j8/s640/b7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQmbvsZUV-k/VCLWOqB9hhI/AAAAAAAAMAM/rQAY8Bq2zoY/s640/b12.jpg)
10 years ago
GPLUKAWA: UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2015 LAZIMA, KIKWETE ASIONGEZEWE MUDA, KURA YA MAONI BAADAE
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kushoto)Â akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (wa pili kutoka kushoto), Mwenyekiti wa Chadema, Mhe Freeman Aikael Mbowe (wa pili kutoka kulia) na Katibu Mkuu wa Chama cha Chadema, Dk Willbroad Slaa (kulia). VYAMA vinavyounda Umoja wa katiba ya Wananchi (UKAWA) leo vimetoa msimamo wao juu ya njama za...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kura ya siri yaweka Bunge njiapanda
KIFUNGU cha kura ya siri katika Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, kimeliweka Bunge njia panda baada ya wajumbe bila kujali vyama na makundi, kugawanyika.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
KATIBA MPYA : Kura tatu zawaweka njiapanda Wazanzibari
Wananchi wa Zanzibar wapo katika matayarisho ya kupiga kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa baada ya Bunge la Katiba kukamilisha majukumu yake Oktoba mwaka huu na kubakia kura ya maoni mwakani.
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Maoni ya wananchi yakipuuzwa, wataikataa kwa kura ya maoni
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Profesa Anna Tibaijuka ametahadharisha kuwa wananchi wanaweza kuikataa Katiba kwenye kura ya maoni kama maoni yao yatawekwa kando.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10