Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBA MPYA : Kura tatu zawaweka njiapanda Wazanzibari

Wananchi wa Zanzibar wapo katika matayarisho ya kupiga kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa baada ya Bunge la Katiba kukamilisha majukumu yake Oktoba mwaka huu na kubakia kura ya maoni mwakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba

>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya sasa yawekwa njiapanda

>Kikao cha mashauriano kilichoitishwa na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta kinatarajiwa kuanza leo lakini wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamesisitiza kuwa hawatashiriki.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafunga Njiapanda Himo kwa saa tatu

Polisi mkoani Kilimanjaro jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya wananchi wakiwamo wanafunzi waliokuwa wamefunga Barabara ya Moshi - Dar kwa mawe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CUF yasisitiza serikali tatu Katiba mpya

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kitatetea maoni ya wananchi waliyoyatoa wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilipokusanya maoni ya rasimu ya Katiba mpya ya kutaka serikali tatu. Hayo yalisemwa juzi...

 

10 years ago

Vijimambo

kura ya maoni njiapanda

Dodoma/Dar. Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.Bunge la Katiba lilikamilisha kazi yake ya kuandika Katiba mpya Oktoba 2 kwa kukamilisha upigaji wa kura za kupitisha Rasimu ya Katiba ambayo ilitakiwa ipitishwe kwa theluthi mbili ya kura kutoka kila upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mchakato huo wa kupata...

 

11 years ago

Habarileo

Kura ya siri yaweka Bunge njiapanda

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir KifichoKIFUNGU cha kura ya siri katika Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, kimeliweka Bunge njia panda baada ya wajumbe bila kujali vyama na makundi, kugawanyika.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda

 Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri Katiba Mpya

Rasimu za kanuni za uendeshaji Bunge Maalumu la Katiba zimependekeza kutumika kwa utaratibu wa kupiga kura ya siri wakati wa kupata uamuzi wa kupitisha Rasimu ya Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Rasimu ya Katiba mpya kupigiwa kura Sept. 21

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta.WAKATI kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) likishinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe haraka iwezekanavyo, Bunge hilo limejiandaa kuwasilisha Katiba inayopendekezwa Septemba 21.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani