Rasimu ya Katiba mpya kupigiwa kura Sept. 21
WAKATI kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) likishinikiza Bunge Maalumu la Katiba lisitishwe haraka iwezekanavyo, Bunge hilo limejiandaa kuwasilisha Katiba inayopendekezwa Septemba 21.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo
RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29



10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
11 years ago
Michuzi25 Feb
HARAKATI ZA BUNGE LA KATIBA: WANAWAKE NA RASIMU YA KATIBA MPYA
Tazama video hapa...
11 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
11 years ago
Mwananchi03 Oct
Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa
11 years ago
Habarileo19 Sep
Rasimu ya 3 Katiba mpya Jumatatu
RASIMU ya Tatu ya Katiba mpya, inatarajiwa kuwekwa hadharani Jumatatu ijayo, wakati Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, itakapokuwa ikiwasilisha rasimu hiyo kwa wajumbe wa bunge hilo.
11 years ago
Dewji Blog02 Oct
Matokeo rasmi ya kura za kupitisha rasimu ya Katiba Bunge Maalum mjini Dodoma
Idadi ya Wabunge ni 219
Waliopiga kura154
Wasiopiga Kura 65
Akidi inayotakiwa kura 146
Kura za NDIYO 147
Kura za HAPANA 7
TANGANYIKA
Idadi ya Wabunge 411
Waliopiga kura 335
Wasiopiga Kura 76
Akidi inayotakiwa kura 274
Kura za NDIYO 331
Kura za HAPANA 1 hadi 4
11 years ago
Habarileo25 Sep
Rasimu ya Katiba mpya hii hapa
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, imewekwa hadharani huku Muungano uliogeuka hoja kuu wakati wa mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba, ukibadilishwa na kuwa na baadhi ya sura mpya za kimuundo na kiutendaji, ambazo hazijawahi kupendekezwa katika historia ya Muungano.