Rasimu ya 3 Katiba mpya Jumatatu
RASIMU ya Tatu ya Katiba mpya, inatarajiwa kuwekwa hadharani Jumatatu ijayo, wakati Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalumu la Katiba, itakapokuwa ikiwasilisha rasimu hiyo kwa wajumbe wa bunge hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s72-c/b5.jpg)
RASIMU YA KATIBA MPYA INAYOPENDEKEZWA HII HAPA; CHENGE AIWEKA HADHARANI KUPIGIWA KURA LEO JUMATATU SEPT 29
![](http://4.bp.blogspot.com/-TIs1pj-7idk/VCLVHwNEhEI/AAAAAAAAL_M/6jVFtjoOrLk/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HJU_KKHsRGM/VCLVWSKvvNI/AAAAAAAAL_s/ESTBsy5e-j8/s640/b7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hQmbvsZUV-k/VCLWOqB9hhI/AAAAAAAAMAM/rQAY8Bq2zoY/s640/b12.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Madaraka ya Bunge sasa, katika Rasimu ya Katiba Mpya na Katiba inayopendekezwa
Natambua kwamba bado tuna joto la sakata la “escrow†ambalo hata baada ya Mkuu wa Nchi Rais Jakaya Kikwete kulifafanua na hata kama hujui kusoma upepo kiasi gani utakuwa umegundua na utaungana nami kwamba bado wananchi wamegawika kabisa.
11 years ago
Michuzi25 Feb
HARAKATI ZA BUNGE LA KATIBA: WANAWAKE NA RASIMU YA KATIBA MPYA
Je, rasimu ya Katiba mpya imeongeza nini na imepunguza nini katika kumkomboa mwanamke? Msikilize hapa Profesa Ruth Meena akizungumzia jinsi mwanamke alivyopewa kipaumbele katika rasimu hii na ameelezea kundi gani limezungumziwa na kuongezwa kwenye rasimu hii ambayo imesahau makundi kama watoto wa kike, wazee na kusahau wanaathirika vipi katika jamii yetu ya Tanzania. Pia, amegusia kuwa nchi hii ina rasilimali nyingi zinazoweza kumlinda mwanamke na vizazi vyake.
Tazama video hapa...
Tazama video hapa...
10 years ago
VijimamboRASIMU KATIBA MPYA ILIYOPENDEKEZWA YAWASILISHWA RASMI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA
11 years ago
BBCSwahili30 Dec
Rais akabidhiwa rasimu ya katiba mpya
Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete na Dr.Ali Mohamed Shein wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar wamekabidhiwa rasmu ya pili ya mapendekezo ya mabadiliko ya katiba
10 years ago
Habarileo25 Sep
Rasimu ya Katiba mpya hii hapa
RASIMU ya Katiba Inayopendekezwa, imewekwa hadharani huku Muungano uliogeuka hoja kuu wakati wa mjadala wa Rasimu ya Pili ya Katiba, ukibadilishwa na kuwa na baadhi ya sura mpya za kimuundo na kiutendaji, ambazo hazijawahi kupendekezwa katika historia ya Muungano.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1IWUFYsyR5fwd1Tof9rtKXfyij-sWPoqQgVaLYssYz4b*mmY3zTzaBkCNF0dmPcyTB4KoPSQ-Ogb-DX54p9UbT/mastaa.jpg?width=650)
MASTAA WAIPONGEZA RASIMU YA KATIBA MPYA
Stori: Deogratius Mongela
Wasanii mbalimbali wa filamu Bongo wameipongeza Rasimu ya Katiba Mpya iliyokabidhiwa hivi karibuni kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, mjini Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar Ali Muhammed Shein wakiwa na Rasimu ya Katiba Mpya waliyokabidhiwa hivi karibuni, mjini Dodoma. Wakizungumza na paparazi wetu kwa nyakati tofauti,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania