Wafunga Njiapanda Himo kwa saa tatu
Polisi mkoani Kilimanjaro jana walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya wananchi wakiwamo wanafunzi waliokuwa wamefunga Barabara ya Moshi - Dar kwa mawe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi wavamia kituo cha polisi, wachoma moto magari manne, wafunga barabara kwa saa 5
>Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Cheka ajifua kwa saa tatu
Sitaki mzaha! Ni kauli aliyoitoa kocha wa bondia Francis ‘SMG’ Cheka, Abdallah ‘Comando’ Salehe baada ya jana jioni kumwanzishia bondia wake mazoezi ya stamina na kumtaka kujifua gym kwa saa tatu bila kupumzika.
10 years ago
Michuzi02 Jul
9 years ago
Michuzi01 Nov
10 years ago
Mwananchi31 Dec
KATIBA MPYA : Kura tatu zawaweka njiapanda Wazanzibari
Wananchi wa Zanzibar wapo katika matayarisho ya kupiga kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa baada ya Bunge la Katiba kukamilisha majukumu yake Oktoba mwaka huu na kubakia kura ya maoni mwakani.
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Mke wa Slaa ahojiwa polisi kwa saa tatu.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Dr%20Slaa%20na%20Mkewe-31March2015.jpg)
Mke wa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, Josephine Mushumbusi, jana alitoa ushahidi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam, kuhusiana na tuhuma zinazomkabili Khalid Kagenzi, za kutaka kumdhuru mumewe.
Kutokana na hatua hiyo ya Mushumbusi, Dk. Slaa alisema tayari wamefunga ushahidi kwa upande wake. Mushumbusi ambaye aliongozana na mumewe, Dk. Slaa walifika katika kituo hicho saa 4:00...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Jeshi jipya la Stars kujifua kwa saa tatu
BAADHI ya sura mpya zilizoitwa mwanzoni mwa wiki hii kwa ajili ya kuongezea nguvu kikosi cha timu ya taifa ya soka Tanzania, ‘Taifa Stars’ kimekamilika na wachezaji hao jana waliungana na wenzao katika mazoezi Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
Stars inayojiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria, Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa jijini hapa imeingiza sura mpya baada ya wachezaji wa klabu za Yanga na Azam FC, kushindwa kuwasili kambini kutokana na kutumikia klabu zao. Akizungumza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsHBQ45TKO5-JHifymw3eexGPni1yYgw-nVofwipTbaX-00jKI1FLEiCNd8DvIQIJrdaqQP6ThY6Q0FWZK1jCJD/yanga.gif?width=650)
Yanga yakaa kikao na Kaseja kwa saa tatu
Juma Kaseja. Na Lucy Mgina
BAADA ya kutua Yanga KOCHA wa makipa wa Yanga, Razack Siwa, amesema alitumia zaidi ya saa tatu kumweka sawa kisaikolojia kipa Juma Kaseja siku moja baada ya mechi dhidi ya Simba. Kaseja alitupiwa lawama kibao kutoka kwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kutokana na kuruhusu bao jepesi kwenye mechi dhidi ya watani wao, Simba, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu Dar- Moro
 Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania