Magufuli aiweka sawa Dar
SIKU tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameunguruma Dar es Salaam na kutoa wosia kwa Watanzania kwamba wanatakiwa kupiga kura kwa umakini ili wamchague kiongozi mwenye maamuzi makini na si maamuzi magumu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Dec
Mwakyembe- Nitaenda sawa na Magufuli
Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema atafanya kazi kwa kasi ya Rais Magufuli katika kukabiliana na changamoto zilizopo katika wizara hiyo.
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Baraza la Dk. Magufuli sawa na ‘strike force’ ya makomandoo?
MOJAWAPO ya maswali ambayo Watanzania wanasubiri kusikia majibu yake ni Baraza la Mawaziri la Rai
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Habarileo04 Aug
Magufuli leo mguu sawa kwa urais
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anatarajiwa kuchukua fomu ya uteuzi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kusaka wadhamini na kisha kuidhinishwa kuwa mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Vardy aiweka Leicester matatani
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali
ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...
10 years ago
Habarileo01 Apr
Trilioni 1/- kuweka sawa majisafi na taka Dar
WIZARA ya Maji imesema mpango maalumu wa uboreshaji huduma za Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam unatarajiwa kugharimu Sh trilioni 1, Bunge limeelezwa.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda
10 years ago
Bongo527 Dec
Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo