Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli aiweka sawa Dar

SIKU tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameunguruma Dar es Salaam na kutoa wosia kwa Watanzania kwamba wanatakiwa kupiga kura kwa umakini ili wamchague kiongozi mwenye maamuzi makini na si maamuzi magumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mwakyembe- Nitaenda sawa na Magufuli

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Harrison Mwakyembe amesema atafanya kazi kwa kasi ya Rais Magufuli katika kukabiliana na changamoto zilizopo katika wizara hiyo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Baraza la Dk. Magufuli sawa na ‘strike force’ ya makomandoo?

MOJAWAPO ya maswali ambayo Watanzania wanasubiri kusikia majibu yake ni Baraza la Mawaziri la Rai

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli leo mguu sawa kwa urais

MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anatarajiwa kuchukua fomu ya uteuzi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kusaka wadhamini na kisha kuidhinishwa kuwa mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa aiweka pabaya Serikali

ZIARA ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Silaa na timu yake, imeutikisa mji wa Songea na vitongoji vyake mkoani Ruvuma, baada ya kupata mapokezi...

 

10 years ago

Habarileo

Trilioni 1/- kuweka sawa majisafi na taka Dar

WIZARA ya Maji imesema mpango maalumu wa uboreshaji huduma za Majisafi na Majitaka jijini Dar es Salaam unatarajiwa kugharimu Sh trilioni 1, Bunge limeelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete aiweka kura ya maoni njiapanda

 Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.

 

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani