Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
FOX Sports Asia10 Mar
Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Vardy aiweka Leicester matatani
9 years ago
Bongo504 Jan
Mshambuliaji wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
![151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa-300x194.jpg)
Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy atakuwa nnje ya wa uwanja kwa wiki mbili baada ya kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa timu ya taifa Uingereza amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mtoki wake, kituo cha redio cha BBC cha Leicester kimeripoti.
Vardy amekuwa na msimu mzuri sana hadi saivi ana mabao 15 aliyoyafunga Ligi ya Premia yamesaidia Bweha hao kupanda hadi nambari mbili ligini.
Mchezaji huyo wa umri wa miaka 28 amechezea klabu hiyo mechi 24 msimu huu.
Vardy alicheza...
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Nyota wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]
The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
BBCSwahili30 Dec
Man City, Leicester City hakuna mbabe
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/92FD/production/_85892673_leicester-celebrate.jpg)
Norwich City 1-2 Leicester City
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82884000/jpg/_82884907_mahrez3_getty.jpg)
Leicester City 2-0 Southampton
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/3D5E/production/_87301751_gettsadfsd.jpg)
Everton 2-3 Leicester City