Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili

VardyLONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.

Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.

Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Kocha wa timu ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

FOX Sports Asia

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win

Leicester City 4-0 Aston Villa: Jamie Vardy back with a brace in thumping win  FOX Sports AsiaLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comAston Villa v. Leicester City | PREMIER LEAGUE HIGHLIGHTS | 3/9/2020 | NBC Sports  NBC SportsLeicester City 3-0 Aston Villa live - Jamie Vardy brace and Harvey Barnes strike have Foxes in control  Leicestershire LiveWill Samatta be successful against Leicester City the second time around?  goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

 

9 years ago

Bongo5

Mshambuliaji wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji

151231124304_mahrez_vardy_640x360_pa

Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy atakuwa nnje ya wa uwanja kwa wiki mbili baada ya kufanyiwa upasuaji.

2FBE056100000578-0-image-a-7_1451852909151

Mchezaji huyo wa timu ya taifa Uingereza amefanyiwa upasuaji mdogo kwenye mtoki wake, kituo cha redio cha BBC cha Leicester kimeripoti.

Vardy amekuwa na msimu mzuri sana hadi saivi ana mabao 15 aliyoyafunga Ligi ya Premia yamesaidia Bweha hao kupanda hadi nambari mbili ligini.

Mchezaji huyo wa umri wa miaka 28 amechezea klabu hiyo mechi 24 msimu huu.

Vardy alicheza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nyota wa Leicester Vardy kufanyiwa upasuaji

Mshambuliaji nyota wa Leicester City Jamie Vardy hataweza kucheza kwa wiki mbili baada yake kufanyiwa upasuaji mdogo.

 

9 years ago

MillardAyo

Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]

The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City, Leicester City hakuna mbabe

Ligi kuu ya England iliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa mchezo kuchezwa.

 

9 years ago

BBC

Norwich City 1-2 Leicester City

Ghana's Jeffrey Schlupp scores as Leicester move up to fourth in the Premier League with a narrow victory over Norwich at Carrow Road.

 

10 years ago

BBC

Leicester City 2-0 Southampton

Algeria's Riyad Mahrez hits a brace as Leicester beat Southampton to make it six wins from seven and further boost their survival hopes.

 

9 years ago

BBC

Everton 2-3 Leicester City

Leicester City will be top of the Premier League at Christmas after two Riyad Mahrez penalties help them beat Everton.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani