Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]

The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea usiku wa December 21 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Emirates, Arsenal waliikaribisha Manchester City katika dimba hilo. Huu ndio mchezo uliokuwa unavutia zaidi kuliko mechi zote za Uingereza zilizopigwa weekend ya December 19 na 20. Mvuto wa mchezo huu unakuja kutokana na timu zote kuwa katika nafasi tatu za juu, hivyo […]

The post Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video) appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City, Leicester City hakuna mbabe

Ligi kuu ya England iliendelea tena usiku wa kuamkia leo kwa mchezo kuchezwa.

 

5 years ago

The Sportsman

Villa Beware! Leicester City's Reinvigorated Iheanacho Is A Man On A Mission

Villa Beware! Leicester City's Reinvigorated Iheanacho Is A Man On A Mission  The SportsmanLeicester City are a better team with Ndidi - Rodgers  Goal.comWhat Jack Grealish Could Offer Manchester United - LWOS  Last Word On FootballxV: The bad news: Aston Villa are bad. The good news: So are five other teams!  7500 To HolteLeicester City 3-0 Aston Villa live - Jamie Vardy brace and Harvey Barnes strike have Foxes in control  Leicestershire LiveView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Manchester Evening News

The standout Gabriel Jesus stat from Man City matchwinner at Leicester

The standout Gabriel Jesus stat from Man City matchwinner at Leicester  Manchester Evening NewsLaporte gives Man City renewed hope of Champions League success  Goal.comLeicester 0-1 Manchester City: Foxes stake Champions League claim  SquawkaManchester City v Leicester City - Premier League Matchday 27: Preview, Team News and Prediction  Bitter and Blue‘Next time we will score’ – Guardiola defiant as Man City’s penalty woes continue  Goal.comView Full coverage on Google...

 

9 years ago

MillardAyo

Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26

Ligi Kuu soka Tanzania imeendelea uwanja wa Taifa Dar Es Salaam kwa Mabingwa watetezi wa Ligi hiyo Dar Es Salaam Young Africans kuwakaribisha wagonga nyundo wa jiji la Mbeya klabu ya Mbeya City. Huu ni mchezo wa 13 kwa klabu ya Yanga ambao ndio wapo kileleni mwa msimamo wa Ligi. Yanga ambao ndio wanatajwa kuwa […]

The post Yanga waendeleza ubabe wao dhidi ya Mbeya City, cheki pichaz na matokeo ya mechi za Ligi Kuu TZ Dec 26 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola..

Kabla siku haijaisha mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee stori 5 za soka zilizoingia katika headlines siku ya December 17, kuna mengi yamezungumzwa katika stori za soka December 17 ikiwemo stori za kufukuzwa kwa mara ya pili kwa kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho. Hizi ndio TOP 5 ya stori za soka December 17. […]

The post TOP 5 Stori: Huyu ndio mrithi wa Mourinho Chelsea, Man United na Lewandowski? Man City na mipango ya Guardiola.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBC

Norwich City 1-2 Leicester City

Ghana's Jeffrey Schlupp scores as Leicester move up to fourth in the Premier League with a narrow victory over Norwich at Carrow Road.

 

9 years ago

BBCSwahili

Man City ndio wenye nguvu zaidi - Pellegrini

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini anaamini timu yake ndiyo yenye nguvu zaidi katika Ligi ya Premia, wachezaji wake wote wakiwa sawa.

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]

The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani