Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea usiku wa December 21 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Emirates, Arsenal waliikaribisha Manchester City katika dimba hilo. Huu ndio mchezo uliokuwa unavutia zaidi kuliko mechi zote za Uingereza zilizopigwa weekend ya December 19 na 20. Mvuto wa mchezo huu unakuja kutokana na timu zote kuwa katika nafasi tatu za juu, hivyo […]

The post Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz)

Ligi Kuu soka Uingereza imeendelea tena usiku wa December 29 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la King Power, mchezo wa December 29 ulikuwa unazihusisha klabu za Leicester City dhidi ya klabu ya Manchester City. Uzuri wa mchezo huu ni kuwa vilabu vyote viwili vipo katika mbio za kuwania Ubingwa wa Ligi Kuu kutokana na […]

The post Leicester City wameidhibiti Man City ndani ya dimba la King Power, haya ndio matokeo (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Mirror Online

Graeme Souness questions Mesut Ozil's attitude despite Arsenal star's goal vs Newcastle

Graeme Souness questions Mesut Ozil's attitude despite Arsenal star's goal vs Newcastle  Mirror Online“He was top drawer”- Mikel Arteta hails Arsenal ace following Newcastle win  CaughtOffside“I don’t like that” – Pundit hits out at Aubameyang comments after Arsenal win over Newcastle  Just Arsenal NewsHave Arteta's Arsenal just clicked? Pepe & Ceballos revive Champions League hopes  Goal.comArsenal: Who knew that football could be so much fun?  Pain In The ArsenalView Full coverage on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 26 siku ya Boxing Day kwa michezo 10 ila mchezo wa awali ulikuwa kati ya Stoke City dhidi ya Manchester United katika dimba la Britannia lenye uwezo wa kubeba zaidi ya mashabiki 27000 kwa mara moja. Huu ni mchezo wa 18 kwa timu zote mbili ila unatajwa kuwa […]

The post Kwa kipigo cha Stoke City, huenda siku za Van Gaal Man United zikawa zinahesabika … (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mesut Ozil , Baba yake wana mgogoro

Uhusiano kati ya mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani na timu ya Arsenal Mesut Ozil na Baba yake uko matatani

 

5 years ago

The Sun

3.25pm Arsenal news LIVE: Longstaff eyed for FREE transfer; Aubameyang, Ozil, Mkhitraryan updates, Man City

3.25pm Arsenal news LIVE: Longstaff eyed for FREE transfer; Aubameyang, Ozil, Mkhitraryan updates, Man City  The SunArsenal prepared to allow Mesut Ozil to leave for free as they look to tie Aubameyang to a new deal  Just Arsenal NewsArsenal considering three free agents in summer transfer shake-up  Daily StarMikel Arteta's assistant issues bold prediction for Arsenal under their head coach  Football.LondonPhilippe Coutinho is too much luxury and could become the next Mesut Ozil  Just...

 

10 years ago

Vijimambo

ARSENAL YAIFUNGA HULL CITY BAO 3-1 KATIKA LIGI KUU ENGLAND

Timu ya soka ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Hull City katika mchezo wa ligi kuu nchini Uingereza. Mlinda mlango wa Hull City, Steve Harper akiwa hana la kufanya zaidi ya kuuangalia mpira ukijaa wavuni.Ikicheza ugenini katika uwanja wa KC, washika bunduki hao wa jiji la London walionyesha kandanda la hali ya juu na kuonyesha ubora wao wa kumiliki mpira hadi mwisho wa mchezo wao.
Mabao mawili toka kwa mshambuliaji wake mwenye kasi Alexis Sanchez...

 

9 years ago

MillardAyo

FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)

December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]

The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video)

Michezo 8 ya Ligi Kuu Uingereza imechezwa leo Jumatatu ya December 28, ikiwa ni muendelezo wa mechi za Ligi Kuu Uingereza, mechi ambayo ilikuwa inapewa nafasi kubwa na hisia za mashabiki wengi wa soka, ni mchezo kati ya Man United dhidi ya klabu ya Chelsea iliyomtimua Jose Mourinho hivi karibuni na kumpa kibarua cha muda […]

The post Kilichojiri Old Trafford kati ya Man United Vs Chelsea, kutana na matokeo ya mechi za EPL (+Pichaz&Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Goal.Com

Olympiacos test negative for coronavirus after Wolves concerns & postponement of Man City vs Arsenal

Olympiacos test negative for coronavirus after Wolves concerns & postponement of Man City vs Arsenal  Goal.comArsenal receives a major boost after Olympiacos players take Coronavirus test.  Just Arsenal NewsDoubt thrown on Premier League as Man City fixture postponed due to coronavirus fears  Empire of The KopMan City vs Arsenal postponed over coronavirus fears  Goal.comCoronavirus update for Man United fans and Old Trafford visitors  Manchester UnitedView Full coverage on Google...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani