FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)
December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]
The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …
Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]
The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu
BARCELONA, HISPANIA
BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.
Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.
Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea usiku wa December 21 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Emirates, Arsenal waliikaribisha Manchester City katika dimba hilo. Huu ndio mchezo uliokuwa unavutia zaidi kuliko mechi zote za Uingereza zilizopigwa weekend ya December 19 na 20. Mvuto wa mchezo huu unakuja kutokana na timu zote kuwa katika nafasi tatu za juu, hivyo […]
The post Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)
Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]
The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...
9 years ago
StarTV18 Aug
BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….
![2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599.jpg)
5 years ago
GIVEMESPORT20 Mar
Remembering Alessandro Nesta's perfect tackle on Barcelona's Lionel Messi
5 years ago
Barca Blaugranes08 Mar
FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo
5 years ago
Mirror Online07 Apr
Inter Milan tipped to complete sensational Lionel Messi transfer from Barcelona