Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video)

December 30 Ligi Kuu ya Hispania iliendelea kwa michezo 9 kupigwa katika viwanja mbalimbali, huu ni muendelezo wa mechi za Laliga ambapo ilikuwa imesimama kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu ya Christmas, hivyo December 30 iliendelea kama kawaida. Miongoni mwa michezo iliyochezwa December 30 ni mechi kati ya FC Barcelona dhidi ya Real Betis. Huu ni […]

The post FC Barcelona ushindi kama kawaida yao, Lionel Messi nae kwenye headlines za rekodi hii (+Pichaz&Video) appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni …

Michuano ya klabu Bingwa Dunia imeendelea tena kwa mchezo wa fainali kupigwa katika uwanja wa Nissan, mchezo wa fainali ya klabu Bingwa Dunia umepigwa kwa kuzikutanisha timu mbili klabu ya FC Barcelona ya Hispania ambaye ni muwakilishi wa bara la Ulaya katika michuano hiyo dhidi ya klabu ya River Plate kutoka bara la America. Huu […]

The post Video na pichaz za ushindi wa FC Barcelona fainali ya klabu Bingwa Dunia, Messi na Suarez waingia nyavuni … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’

. “Lionel Messi anaweza kuvunja rekodi yoyote iliyokuwa kichwani mwake,” kwa mujibu wa kocha Barcelona, Gerardo Martino baada ya kumshuhudia nyota wa Argentina akiwa mchezaji watatu kwa wachezaji waliofunga mabao mengi La Liga.

 

9 years ago

Mtanzania

Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu

Gerard PiqueBARCELONA, HISPANIA

BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.

Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.

Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...

 

9 years ago

MillardAyo

Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video)

Ligi Kuu Uingereza imeendelea usiku wa December 21 kwa mchezo mmoja kupigwa katika dimba la Emirates, Arsenal waliikaribisha Manchester City katika dimba hilo. Huu ndio mchezo uliokuwa unavutia zaidi kuliko mechi zote za Uingereza zilizopigwa weekend ya December 19 na 20. Mvuto wa mchezo huu unakuja kutokana na timu zote kuwa katika nafasi tatu za juu, hivyo […]

The post Arsenal yaifunga Man City katika dimba la Emirates, Mesut Ozil kaendeleza rekodi yake (+Pichaz&Video) appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video)

Baada ya klabu ya TP Mazembe inayochezewa na washambuliaji wa wawili wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kutolewa katika mashindano ya klabu Bingwa Dunia katika hatua ya robo fainali dhidi ya Sanfrecce kwa goli 3-0, December 17 ilikuwa ni zamu ya Mabingwa wa Ulaya FC Barcelona kutupa karata yao katika hatua ya nusu fainali. […]

The post Baada ya timu ya Samatta kuchukua kichapo Klabu Bingwa Dunia , Suarez kaipeleka fainali Barcelona (+PIchaz&Video) appeared first on...

 

9 years ago

StarTV

BARCELONA YA LIONEL MESSI YAPOTEZA KOMBE LA KWANZA MSIMU HUU….

2B72BF8600000578-3201312-image-a-9_1439846291599 Baada ya miaka 31 kupita, Athletic Bilbao wametwaa kombe la kwanza baada ya kuinyuka Barcelona kwa ushindi wa jumla wa magoli 5-1 katika mechi mbili za fainali ya Spanish Super Cup. Jana usiku, Barcelona wamelazimishwa sare ya 1-1 katika mchezo wa marudiano wa kombe hilo uliopigwa dimba la Camp Nou, wakati katika mechi ya kwanza walikula kichapo cha 4-0Lionel Messi aliwafungia Barca goli la kuongoza dakika ya 43′ na kufufua matumaini ya kupindua matokeo ya awali, lakini yule yule...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Remembering Alessandro Nesta's perfect tackle on Barcelona's Lionel Messi

Remembering Alessandro Nesta's perfect tackle on Barcelona's Lionel Messi  GIVEMESPORTPochettino wants Messi union at Newell’s & World Cup win for Barcelona icon in 2022  Goal.comLionel Messi urges Barcelona to sign Serie A’s best defender  Everything BarcaLionel Messi gets involved in the 'toilet roll challenge' - and it's class  GIVEMESPORT'We have to kick him, once each!' - Melo opens up on Brazil's plans to stop Messi  Goal.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Barca Blaugranes

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo

FC Barcelona News: 8 March 2020; Lionel Messi tops Cristiano Ronaldo  Barca BlaugranesBarcelona have a Messi problem... and they simply can't do without him  Goal.comLionel Messi was foiled by an ingenious method to defend his free-kick against Real Sociedad  GIVEMESPORTJordi Alba tells Barcelona fans to respect him after Real Sociedad win  Barca BlaugranesLionel Messi Is Now The All-Time Top Scorer In Top Five European Leagues  SPORTbibleView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Mirror Online

Inter Milan tipped to complete sensational Lionel Messi transfer from Barcelona

Inter Milan tipped to complete sensational Lionel Messi transfer from Barcelona  Mirror OnlineChelsea willing to double Lautaro Martinez's wages but Inter ace wants Barcelona move  Express.co.ukInter Will Only Let Barcelona Target Lautaro Martinez To Leave On Their Terms  SempreInterChelsea ‘could’ price out Barcelona, Inter, Man City for Lautaro Martinez  We Ain't Got No HistoryLautaro Martinez Flattered By Barcelona's Interest But Won't Push To Leave Inter  SempreInterView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani