Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubaguzi wawatia matatani Leicester

Wachezaji watatu wa Leicester City wamejikuta matatani kutokana na tabia ya ubaguzi nchini Thailand

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Vardy aiweka Leicester matatani

Jamie Vardy amefanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga na anaiweka Leicester katika hali ya hatari ya kumkosa kwa muda uwanjani akianza na mchezo wa FA dhidi ya Tottenham Jumapili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi Urusi: Hadithi kuhusu dhana potofu za ubaguzi wa rangi

Watu weusi nchin Urusi wameiambia BBC jinsi ubaguzi wa rangi ulivyoyaathiri maisha yao

 

11 years ago

KwanzaJamii

Ukawa wawatia kiwewe Wassira, Mwigulu, Lukuvi

Steven Wasira Na Waandishi Wetu, Mwananchi Moshi/Dar. Mawaziri Stephen Wassira na Mwigulu Nchemba wamesema kuwa japo Bunge Maalumu la Katiba litaendelea na vikao vyake kuanzia kesho mjini Dodoma, halitakuwa na uhalali wa kisiasa. “Tunakwenda bungeni kuendelea na vikao kwa sababu hatuvunji sheria. Kumbukeni hata walipotoka (Ukawa) wakati ule tuliendelea na vikao kwa sababu akidi inaruhusu, japo hatutakuwa na uhalali wa kisiasa lakini kisheria tuna uhalali,” alisema Wasira ambaye ni...

 

10 years ago

Mtanzania

Kina Zitto wawatia mbaroni vigogo TPDC

TPDCNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande na Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo, James Andilile, wametiwa mbaroni baada ya kukaidi amri ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyotaka kukabidhiwa mikataba 26 ya gesi kwa takribani miaka mitatu sasa.

Vigogo hao walikamatwa jana Dar es Salaam katika ofisi Ndogo za Bunge walipokutana na kamati hiyo ambayo ilikaa kama mahakama.

Tangu mwaka 2012, PAC imekuwa ikiomba...

 

11 years ago

Michuzi

TANAPA WAWATIA MBARONI WAUZAJI WA PEMBE FEKI ZA FARU


Mmoja wa watuhumiwa akiwa na 'mzigo' wake ambao ni feki...

 

11 years ago

Michuzi

FFU wa Ngoma Africa Band wawatia wazimu washabiki Tubingen,Ujerumani

Tubingen,Ujerumani,Ilikuwa usiku  jumamosi  19.Julai 2014 bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni " imefanikiwa tena kuwatia wazimu malefu ya washabiki katika maonyesho makubwa ya International African Festival 2014 mjini Tubingen,Ujerumani. 
Bendi hiyo iliyobatizwa majina mengi ya utani na washabiki wake  imejikuta inaongeza idadi ya maelfu ya washabiki katika maonyesho yake.
Katika hali isiyo ya kawaida usiku wa jumamosi 19 Julai 2014 Ngoma Africa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea 2-0 Leicester

Mshambulizi wa Uhispania Diego costa alifunga bao lake la pili katika mechi 2 za EPL

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani