TANAPA WAWATIA MBARONI WAUZAJI WA PEMBE FEKI ZA FARU
![](http://4.bp.blogspot.com/-3DHe8tUiy8Q/UvPctsSehNI/AAAAAAAFLTY/fRwdUU9H6XE/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Mmoja wa watuhumiwa akiwa na 'mzigo' wake ambao ni feki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa na pembe za faru
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Wachina kizimbani kwa pembe za faru
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Kina Zitto wawatia mbaroni vigogo TPDC
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande na Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo, James Andilile, wametiwa mbaroni baada ya kukaidi amri ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyotaka kukabidhiwa mikataba 26 ya gesi kwa takribani miaka mitatu sasa.
Vigogo hao walikamatwa jana Dar es Salaam katika ofisi Ndogo za Bunge walipokutana na kamati hiyo ambayo ilikaa kama mahakama.
Tangu mwaka 2012, PAC imekuwa ikiomba...
10 years ago
Vijimambo31 Jul
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1104.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/296.jpg)
Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Baara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p_QMEZSqIso/VbtjZ2FVpmI/AAAAAAAAEiA/UvaWKjxXpqo/s72-c/1.jpg)
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p_QMEZSqIso/VbtjZ2FVpmI/AAAAAAAAEiA/UvaWKjxXpqo/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wqkAs__75zQ/VbtjjpE5G8I/AAAAAAAAEiI/as391ebncz4/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lV0ogl-mdws/Vbtjs7Px_aI/AAAAAAAAEiQ/0pSGH5xrqIw/s640/3.jpg)