Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA

Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Daraja la Pili,Malale Patrick Mwita akiwa ameshika Tuzo na Cheti alivyokabidhiwa na Mwana wa Mfalme Albert wa Pili wa Monaco nchini Afrika Kusini wiki iliyopita katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Tanapa jijini Arusha.Meneja Mawasiliano wa Tanapa,Pascal Shelutete akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.Waandishi wa habari...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA

1Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita wa Hifadhi ya Taifa Serengeti akiongea na Wanahabari jijini Arusha kuhusiana na Tuzo ya kuwa Askari Bora wa Ulinzi wa Faru Barani Afrika aliyotunukiwa hivi karibuni nchini Afrika ya Kusini. 2Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita wa Hifadhi ya Taifa Serengeti akionyesha Tuzo hiyo mbele ya Wanahabari jijini Arusha.

Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika

2Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete  (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao  wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mwandishi wetu,Arusha

Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”
Meneja Mawasiliano wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Baara la Afrika

2Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete  (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo  ambao  wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.

Mwandishi wetu,Arusha

Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”
Meneja Mawasiliano wa...

 

10 years ago

Habarileo

Askari ashinda tuzo ya ulinzi wa faru

ASKARI daraja la pili, Malale Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ameshinda tuzo ya kila mwaka ya askari bora katika ulinzi wa faru kwa mwaka 2015 Barani Afrika.

 

9 years ago

Dewji Blog

Breaking News: MO DEWJI ashinda tuzo ya heshima Barani Afrika #FAPOY2015

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Dakika chache tu kutoka katika jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini  tayari Bilionea kijana Barani Afrika Mohammed Dewji maarufu kama “Mo” ametangazwa kushinda tuzo maalum ya heshima Barani Afrika  #FAPOY2015.

Katika hatua hiyo, MO ametunukiwa tuzo maalum ya heshima ya #FAPOY2015. Kufuatia tuzo hiyo tayari pongezi mbalimbali zimeanza kutolewa kwa MO ikiwemo kurasa wake wa twitter. @moodewji

MO akitoa nasaha zake muda mfupi wakati wa tuzo hiyo ya...

 

10 years ago

Vijimambo

NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA

1Bima ya AfyaaaKaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Bw. Khamis Mdee wa pili kutoka kulia akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya mfuko huo wakati walipoonyesha tuzo ambazo mfuko huo ulitunukiwa nchini Morocco na Shirikisho la kimataifa la Taasisi za Hifadhi ya Jamii (ISSA) nchini Morocco hivi karibuni. kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti, Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Tiba na Ushauri wa NHIF, Dk Mkwabi Fikirini na Mkurugenzi wa masoko na...

 

9 years ago

Dewji Blog

MO DEWJI ATEULIWA KUWANIA TUZO YA HESHIMA BARANI AFRIKA

mohammed-dewji_416x416

“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015”

KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB]   KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”

MO DEWJI

“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YANYAKA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA

1Bima ya AfyaaaKaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Bw. Khamis Mdee wa pili kutoka kulia akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya mfuko huo wakati walipoonyesha tuzo ambazo mfuko huo ulitunukiwa nchini Morocco na Shirikisho la kimataifa la Taasisi za Hifadhi ya Jamii (ISSA) nchini Morocco hivi karibuni. kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti, Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Tiba na Ushauri wa NHIF, Dk Mkwabi Fikirini na Mkurugenzi wa masoko na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mkenya ashinda Tuzo ya CNN Afrika

Mpigapicha wa shambulio la kigaidi katika jengo la Westgate nchini Kenya, Joseph Mathenge ameibuka mshindi wa jumla wa tuzo za waandishi wa habari za Afrika za CNN Multichoice, huku historia ya picha zake ikiibua simanzi na vigelegele vya ushindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani