ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p_QMEZSqIso/VbtjZ2FVpmI/AAAAAAAAEiA/UvaWKjxXpqo/s72-c/1.jpg)
Askari wa Shirika la Hifadhi za Taifa(Tanapa)Daraja la Pili,Malale Patrick Mwita akiwa ameshika Tuzo na Cheti alivyokabidhiwa na Mwana wa Mfalme Albert wa Pili wa Monaco nchini Afrika Kusini wiki iliyopita katika mkutano na waandishi wa habari Makao Makuu ya Tanapa jijini Arusha.
Meneja Mawasiliano wa Tanapa,Pascal Shelutete akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Waandishi wa habari...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo31 Jul
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/1104.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/296.jpg)
Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Baara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Habarileo01 Aug
Askari ashinda tuzo ya ulinzi wa faru
ASKARI daraja la pili, Malale Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ameshinda tuzo ya kila mwaka ya askari bora katika ulinzi wa faru kwa mwaka 2015 Barani Afrika.
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Breaking News: MO DEWJI ashinda tuzo ya heshima Barani Afrika #FAPOY2015
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Dakika chache tu kutoka katika jiji la Johannesburg nchini Afrika Kusini tayari Bilionea kijana Barani Afrika Mohammed Dewji maarufu kama “Mo” ametangazwa kushinda tuzo maalum ya heshima Barani Afrika #FAPOY2015.
Katika hatua hiyo, MO ametunukiwa tuzo maalum ya heshima ya #FAPOY2015. Kufuatia tuzo hiyo tayari pongezi mbalimbali zimeanza kutolewa kwa MO ikiwemo kurasa wake wa twitter. @moodewji
MO akitoa nasaha zake muda mfupi wakati wa tuzo hiyo ya...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
NHIF YAZUNGUMZIA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
MO DEWJI ATEULIWA KUWANIA TUZO YA HESHIMA BARANI AFRIKA
“NINAFURAHA KUKUARIFU KUWA NIMETEULIWA KUWANIA TUZO YA “ FORBES PERSON OF THE YEAR 2015”
KWA HESHIMA NA TAADHIMA NINAOMBA KURA YAKO; Bonyeza Link hii: [ ttp://t.co/8mPEDbghsB] KUNIPIGIA KURA ILI TUIPEPERUSHE BENDERA YA TANZANIA JUU ZAIDI NA KUIWAKILISHA VYEMA AFRIKA MASHARIKI.”
“I am humbled to be one of the nominees for Forbes Person of the Year and i hope to make Tanzania/East Africa & Africa Proud. Please share with your friends and cast your votes...
10 years ago
Michuzi17 Dec
NHIF YANYAKA TUZO TATU ZA UBUNIFU BARANI AFRIKA
![1Bima ya Afyaaa](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/1Bima-ya-Afyaaa.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Mkenya ashinda Tuzo ya CNN Afrika