Makachero wa Idara ya uhamiaji wawatia mbaroni wahamiaji haramu wenye asili ya Asia wanaojihusisha na Biashara ya ukahaba
Kutoka Channel 10
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLIDARA YA UHAMIAJI MBEYA INAWASHIKILIA WAHAMIAJI HARAMU 62 KUTOKA ETHIOPIA
Ofisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake jana. Wanahabari wakimsikiliza William Bambanganya. IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ethiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake… ...
11 years ago
Michuzi12 Feb
IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu.
na Mbeya yetu.---------------------------- IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Mbeya inawashikilia wahamiaji Haramu 62 ambao ni Wahabeshi raia wa Ehtiopia pamoja na Watanzania wawili wakituhumiwa kuingia nchini kinyume na utaratibu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisinin kwake Afisa Uhamiaji Mkoa wa Mbeya, William Bambanganya...
11 years ago
MichuziJEHI LA POLISI DODOMA LAWASHIKILIA WANAWAKE 15 WANAOJIHUSISHA NA BIASHARA UKAHABA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea kufanya msako katika maeneo mbalimbali na kufanikiwa kuwakamata wanawake wapatao 15 wanaojihusisha na biashara haramu ya kuuza miili yao kutoka mikoa mbalimbali nchini. Msako huo ulifanyika tarehe 05/02/2014 majira ya 21:00hrs katika mitaa ya uhindini na Air Port.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME - SACP amewataja watu hao kuwa ni:
1. VERONICA D/O JOEL...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xkD01DKzp4U/VQmAnaOP8zI/AAAAAAAHLSM/Tafk-bsZ7ps/s72-c/unnamed.jpg)
Idara ya Uhamiaji yaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
IDARA ya Uhamiaji nchini,Imesema inaendelea kupambana na uhamiaji haramu nchini na kuwataka wananchi waendelee kutoa taarifa za wahamiaji haramu na hatua zinachukuliwa dhidi ya wahamiaji hao.
Hayo ameyasema,Naibu Kamishina wa Idara ya Uhamiaji na Msemaji wa Mkuu wa Idara hiyo,Abbas Irovya ,amesema idara ya uhamiaji inaendelea kupambana na wahamiaji haramu na kufanya uhamiaji haramu kupungua.
Irovya amesema kuwa kuna gazeti moja la wiki jina tunalihifadhi...
11 years ago
Habarileo21 Dec
Uhamiaji wanasa kinara wa uvushaji wahamiaji haramu
IDARA ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro, imefanikiwa kumkamata kinara wa biashara ya binadamu, Abdul Ndaishimiye (33) raia wa Burundi anayedaiwa kuvusha wahamiaji haramu kuingia nchini kwa wastani wa Sh milioni 2 kwa kila mtu mmoja.
10 years ago
Habarileo31 Mar
Wahamiaji haramu 64 mbaroni Kilimanjaro
POLISI mkoani Kilimanjaro inashikilia wahamiaji haramu 64, raia wa Ethiopia, walioingia nchini na kujificha katika wilaya za Mwanga na Rombo mkoani.
11 years ago
Mwananchi15 May
Mbaroni kuhifadhi wahamiaji haramu
 Idara ya uhamiaji mkoani Geita, inawashikilia wakazi wawili wa Nyamboge, wilayani Geita, kwa tuhuma za kuhifadhi wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Burudi.
9 years ago
MichuziWAZIRI KITWANGA ATEMBELEA UHAMIAJI, ATANGAZA OPERESHENI YA KUKAMATA WAHAMIAJI HARAMU NCHINI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania