Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kuhifadhi wahamiaji haramu

 Idara ya uhamiaji mkoani Geita, inawashikilia wakazi wawili wa Nyamboge, wilayani Geita, kwa tuhuma za kuhifadhi wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Burudi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wahamiaji haramu 64 mbaroni Kilimanjaro

 Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Moita KokaPOLISI mkoani Kilimanjaro inashikilia wahamiaji haramu 64, raia wa Ethiopia, walioingia nchini na kujificha katika wilaya za Mwanga na Rombo mkoani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa tuhuma kusafirisha wahamiaji haramu

Jeshi la Polisi mkoani Tanga, limemkamata mtu anayedaiwa kuwa kinara wa biashara ya kusafirisha wahamiaji haramu.

 

10 years ago

BBCSwahili

China ni haramu kuhifadhi mayai ukiwa hujaolewa

Hujaolewa ? Ni haramu kuhifadhi mayai kwa kizazi cha siku za usoni

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Msihifadhi wahamiaji haramu’

KIONGOZI wa mbio za mwenge wa uhuru, Rachel Kassanda, amewataka Watanzania kuacha tabia ya kuwahifadhi wahamiaji haramu, kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na usalama wa nchi. Akizungumza baada...

 

10 years ago

BBCSwahili

EU kupambana na wahamiaji haramu

EU imekubali kuunda kikosi cha wanamaji ili kupambana na wafanyabiashara wa binadamu kupitia bahari ya mediterania

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wahamiaji haramu 21 wakamatwa

IDARA ya Uhamiaji mkoani hapa, imewakamata wahamiaji haramu 21 kutoka nchi ya Ethiopia walioingia nchini kwa kutumia roli la kubebea saruji katika eneo Mashujaa mjini Makambako. Naibu Kamishna wa Idara...

 

11 years ago

Habarileo

JK aonya wahamiaji haramu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Watakiwa kuwafichua wahamiaji haramu

WANANCHI wa mkoa wa Kigoma wametakiwa kutimiza kwa vitendo mkakati wa ulinzi wa nchi kwa kuwafichua wahamiaji haramu wanaoingia na silaha mkoani humo kwa nia ya kutenda vitendo vya uhalifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani