Mbaroni kwa tuhuma kusafirisha wahamiaji haramu
Jeshi la Polisi mkoani Tanga, limemkamata mtu anayedaiwa kuwa kinara wa biashara ya kusafirisha wahamiaji haramu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 May
Mbaroni kuhifadhi wahamiaji haramu
10 years ago
Habarileo31 Mar
Wahamiaji haramu 64 mbaroni Kilimanjaro
POLISI mkoani Kilimanjaro inashikilia wahamiaji haramu 64, raia wa Ethiopia, walioingia nchini na kujificha katika wilaya za Mwanga na Rombo mkoani.
10 years ago
Michuzi20 Dec
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Washikiliwa kwa tuhuma za kutaka kusafirisha kobe 201
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/8ZYHw2_ACb4/default.jpg)
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo19 Mar
Mwinjilisti matatani kwa wahamiaji haramu
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Chekereni wilayani Moshi vijiji, Mbazi Manase (36) kwa tuhuma za kuwahifadhi wahamiaji haramu wanne raia wa Ethiopia.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MKAZI WA JIJINI DAR KORTINI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA GRAMU 1523.25
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Mbaroni kwa uvuvi haramu
JESHI la Polisi mkoani Kigoma, linawashikilia watu watano wakiwemo raia wa Burundi kwa tuhuma za uvuvi haramu katika Ziwa Tanganyika eneo la kijiji cha Kiziba Wilaya ya Kigoma Vijijini, baada...