Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Watatu kortini kwa kusafirisha mihadarati
WATUHUMIWA watatu raia wa kigeni wa kusafirisha dawa za kulevya jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti. Watuhumiwa hao ni Grace Teta Gratu(24) Liberaia,...
11 years ago
Habarileo25 Dec
Wanne mbaroni kwa mihadarati
POLISI jijini Arusha imewakamata vijana wanne katika eneo la Elikyurei wilayani Arumeru wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 100 zenye thamani ya Sh milioni 10.
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Mbaroni kwa tuhuma kusafirisha wahamiaji haramu
10 years ago
Habarileo24 Feb
Mbaroni kusafirisha milipuko kwenye basi
JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili Shaha Saidi (45) na Shedrack Alaya (47), fundi seremala mkazi wa Mkuti, kwa kosa la kusafirisha pakiti 166 za milipuko ndani ya basi kinyume cha sheria.
5 years ago
MichuziMAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI
ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.
Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.
Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.
Pierre Claver...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Watanzania wanyongwa kwa mihadarati
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Watanzania 35 kunyongwa China kwa mihadarati
VIJANA Watanzania 403 wamekamatwa katika nchi mbalimbali kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2014, kati yao 35 wamehukumiwa kifo nchini China. Akizungumza...