Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni wakidaiwa kusafirisha ‘unga’ kutumia maiti

>Polisi mkoani  Morogoro, wanawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti inayosadikiwa kuwa na dawa za kulevya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu kortini kwa kusafirisha mihadarati

WATUHUMIWA watatu raia wa kigeni wa kusafirisha dawa za kulevya jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti. Watuhumiwa hao ni Grace Teta Gratu(24) Liberaia,...

 

11 years ago

Habarileo

Wanne mbaroni kwa mihadarati

 POLISI jijini Arusha imewakamata vijana wanne katika eneo la Elikyurei wilayani Arumeru wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 100 zenye thamani ya Sh milioni 10.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa tuhuma kusafirisha wahamiaji haramu

Jeshi la Polisi mkoani Tanga, limemkamata mtu anayedaiwa kuwa kinara wa biashara ya kusafirisha wahamiaji haramu.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kusafirisha milipuko kwenye basi

JESHI la Polisi mkoani Mtwara, linawashikilia watu wawili Shaha Saidi (45) na Shedrack Alaya (47), fundi seremala mkazi wa Mkuti, kwa kosa la kusafirisha pakiti 166 za milipuko ndani ya basi kinyume cha sheria.

 

5 years ago

Michuzi

MAKABURI YA HALAIKI YENYE MAITI 6000 YAPATIKANA BURUNDI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

ZAIDI ya miili 6000 imepatikana katika makaburi ya halaiki nchini Burundi huku maiti 6032 na maelfu ya risasi yamegundulika katika makaburi sita ya halaiki katika eneo la Karusi nchini humo.

Mamlaka nchini Burundi imetangaza kugundua zaidi ya miili 6000 katika makaburi sita ya watu waliozikwa kijumuiya.

Yaliyogunduliwa katika eneo la Karusi ni makubwa kutokea tangu Serikali itangaze kuanza kwa kampeni ya kugundua makaburi hayo mwezi Januari 2014.

Pierre Claver...

 

11 years ago

GPL

GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO

Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wanyongwa kwa mihadarati

Kasisi mmoja amefuchua kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania ambao wamenyongwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania 35 kunyongwa China kwa mihadarati

VIJANA Watanzania 403 wamekamatwa katika nchi mbalimbali kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2014, kati yao 35 wamehukumiwa kifo nchini China. Akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani