Watatu kortini kwa kusafirisha mihadarati
WATUHUMIWA watatu raia wa kigeni wa kusafirisha dawa za kulevya jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti. Watuhumiwa hao ni Grace Teta Gratu(24) Liberaia,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
WAKAZI WATATU DAR WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA SHTAKA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE
WAKAZI watatu wa jijini Dar es Salaam Jimmy Mlaki (23), mkazi wa Kinondoni Moscow, Stanley Ngowi maarufu kama Sultani (24), mkazi wa Tabata Segera na Issa Omari (29) wa Kimara wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
11 years ago
Habarileo27 Dec
Mbaroni kwa kusafirisha maiti yenye mihadarati
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kusafirisha maiti akiwa na kete 17 tumboni kati ya 24 zinazodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya wakitokea mjini Tunduma, mkoani Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kortini kwa kusafirisha mirungi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MKAZI WA JIJINI DAR KORTINI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA GRAMU 1523.25
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kortini wakidaiwa kusafirisha kokeni za mil 250/-
WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha dawa za kulevya zenye thamani ya Sh milioni 240.9
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Vigogo TAA kortini, wadaiwa kusafirisha meno ya tembo
10 years ago
Habarileo04 Apr
Watatu kortini utakatishaji fedha
WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya wizi na utakatishaji wa fedha.
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Watanzania watatu kortini Kenya kesho