Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania watatu kortini Kenya kesho

>Watanzania watatu wanashikiliwa nchini Kenya kwa kosa la kuingia nchini humo kinyume cha sheria na kuhusishwa na matukio kadhaa ya kigaidi yaliyotokea nchini humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watatu kortini utakatishaji fedha

WATU watatu wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya wizi na utakatishaji wa fedha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu kortini kwa kusafirisha mihadarati

WATUHUMIWA watatu raia wa kigeni wa kusafirisha dawa za kulevya jana wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kusomewa mashtaka matatu tofauti. Watuhumiwa hao ni Grace Teta Gratu(24) Liberaia,...

 

11 years ago

Mwananchi

Walinzi watatu Shirika la Reli watinga kortini

Walinzi watatu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) wamefikishwa katika Mahakama ya Ilala kujibu shtaka la wizi wa kompyuta na vifaa vyake vyenye thamani ya Sh4.8 milioni .

 

5 years ago

Michuzi

WAKAZI WATATU DAR WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA SHTAKA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu Jamii
WAKAZI watatu wa jijini Dar es Salaam Jimmy Mlaki (23), mkazi wa Kinondoni Moscow, Stanley Ngowi maarufu kama Sultani (24),  mkazi wa Tabata Segera na Issa Omari (29) wa Kimara wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
 Akisoma hati ya mashtaka Wakili wa Serikali Mwandamizi Wankyo Simon amedai mbele ya Hakimu Mkazi Rashid Chaungu kuwa Januari  27 mwaka huu huko Ubungo Kibo...

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania watatu wauawa kwa ujambazi Uganda

Polisi nchini Uganda wamewaua watu watatu wanaoaminiwa kuwa ni Watanzania akiwamo mwanamke mmoja na kuwashikilia wengine watatu  kwa madai ya kuvamia kituo cha uvuvi  kilichopo  katika kisiwa cha Migingo  pwani ya Ziwa Victoria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wajeruhiwa Kenya

WATU watatu wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu katika mji wa Garisa nchini humo. Hayo yalithibitishwa Jumamosi na mkuu wa polisi wa eneo hilo, Charles Kinyua kuwa kati ya vijana watatu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabab watatu wauawa Kenya

Jeshi ya Kenya linasema limewaua magaidi watatu wa Al Shabab katika eneo la Lamu lililoko Pwani ya Kenya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Watanzania 2 wazuiwa kuingia nchini Kenya huku idadi ya wagonjwa Kenya ikifikia 715

Raia wawili wa Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Isibania baada ya kukutwa na virusi vya corona, kulingana na wizara ya afya nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Kachero Kenya atoa ushahidi kortini Dar

MKUU wa Uchunguzi wa Maandishi wa Jeshi la Polisi Kenya, John Kimani ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kuwa saini zinazodaiwa kusainiwa na Ramadhani Balenga katika hati ya uhamishaji umiliki wa kiwanja pamoja na mkataba wa mauziano ni za kughushi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani