Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al shabab watatu wauawa Kenya

Jeshi ya Kenya linasema limewaua magaidi watatu wa Al Shabab katika eneo la Lamu lililoko Pwani ya Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

36 WAUAWA NA AL SHABAB KENYA

Baadhi ya Wanamgambo wa Al Shabab. TAKRIBANI watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya. Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha. Wakazi wa eneo hilo wamesema waathirika wote wa tukio hilo ni watu wasio Waislam ambao walikuwa wakifanya kazi katika machimbo hayo yaliyopo Kormey kilomita 15 kutoka mji wa Mandera Kaskazini mwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari watatu wa AU wauawa Somalia

Jeshi la kulinda amani la Umoja wa Afrika nchini Somalia limesema askari wake watatu wameuawa nchini Somalia

 

10 years ago

Habarileo

Watatu wauawa wakidaiwa kupora pikipiki

VIJANA watatu ambao hawajafahamika majina yao wanaokadiriwa kuwa na kati ya miaka 25 na 30, wameuawa na wananchi na kisha kuchomwa moto kwa tuhuma za kupora pikipiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa tukio la utekaji Sydney

Watu watatu wameripotiwa kufa baada ya makomandoo kuvamia mkahawa ambao mtu mwenye silaha aliwashikilia mateka watu kadha

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watatu wauawa kwa kudai ng’ombe

WAKAZI watatu wilayani hapa, wameuawa kwa kupigwa na silaha za jadi na wananchi wenye hasira katika Kijiji cha Karongo, Kata ya Rwabwere. Marehemu hao ni Justus Wamara (49), Syrilo Sebastian...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa kwa bomu Mombasa

Watu watatu wameripotiwa kuuawa na wengine sita kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika mji wa Mombasa nchini Kenya.

 

11 years ago

GPL

MAJAMBAZI WATATU WAUAWA MORO VIJIJINI

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo baada ya kuvamia dukal a mama mmoja wa kijiji cha Kisiwa, kata ya Kiloka, wilaya ya Morogoro Vijijini. Jumla ya majambazi hao walikuwa 10 ambapo saba walifanikiwa kutokomea na watatu kutiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali walioamua kuwatia moto!

 

11 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa na mlipuko nchini Nigeria

Maafisa wa polisi nchini Nigeria wanasema kuwa watu watatu wameuawa baada ya mtu wa kujitolea muhanga kujilipua mjini Jos.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa katika shambulio la kambi ya UN

Watu 3 wamefariki katika shambulio la roketi katika kambi moja ya vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kaskazini mwa Mali,Umoja wa mataifa umesema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani