Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askari watatu wa AU wauawa Somalia

Jeshi la kulinda amani la Umoja wa Afrika nchini Somalia limesema askari wake watatu wameuawa nchini Somalia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 7 wauawa Somalia

Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia

Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia

 

9 years ago

StarTV

Askari mmoja afariki, watatu wajeruhiwa

Askari mmoja wa Jeshi la Polisi mkoani Singida amekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya gari ndogo ya jeshi hilo waliyokuwa wakisafiria kwenda doria kuacha njia na kupinduka.

Ajali hiyo imetokea jana Ijumaa majira ya saa tatu usiku wakati askari hao wa kituo kidogo cha Nduguti Wilaya ya Mkalama wakiwa njiani kwenda eneo la Iguguno barabara kuu ya Singida-Mwanza kufanya doria.

Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Kamishina...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabab watatu wauawa Kenya

Jeshi ya Kenya linasema limewaua magaidi watatu wa Al Shabab katika eneo la Lamu lililoko Pwani ya Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia

Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saba wauawa Puntland , Somalia

Polisi nchini Somalia wanasema kuwa takriban watu Saba wameuawa kwenye shambulizi katika eneo linalojisimamia la Puntland.

 

11 years ago

BBCSwahili

10 wauawa katika mapigano Somalia

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa katika makabiliano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji wanaounga mkono utawala wa muda wa eneo la Buulo Haawo

 

9 years ago

BBCSwahili

11 wauawa kambi ya Wakimbizi,Somalia

Idara za Usalama mjini Mogadishu,Somalia zimeeleza watu 11 wameuawa kutokana na mapigano yaliyozuka katika kambi ya wakimbizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani