Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Polisi 5 wauawa mpakani mwa Kenya na Somalia
Idara ya polisi nchini Kenya imesema kuwa polisi 5 na raia 2 wameuawa katika shambulizi mpakani mwa Kenya na Somalia.
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Kenya kujenga ukuta mpakani Somalia
Waziri wa maswala ya ndani Kenya Joseph Nkaissery amesema kuwa ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia utaanza wiki hii.
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri
Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Wakenya 20 waagizwa kuondoka Somalia
Mahakama nchini Somalia imewaagiza Wakenya 22 waliopatikana na hatia ya kuwa huko kinyume cha sheria kuondoka nchini humo.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Wakenya watatu wauawa kwa ujambazi Arusha
Majambazi wane, wakiwemo raia watatu wa Kenya wameuwa na polisi mkoani Arusha baada ya kuhusika kufanya matukio mbalimbali ya ujambazi wa kupora silaha pamoja na fedha.
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Watu 7 wauawa Somalia
Wavamizi walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo kabla ya wavamizi kuingia wakiwa wamejihami kwa bunduki
9 years ago
BBCSwahili02 Sep
Wanajeshi 50 wa AU wauawa Somalia
Wanajeshi 50 wa Muungano wa Afrika kutoka Uganda wameuawa kwenye shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab nchini Somalia
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Wapiganaji wa Alshabaab wauawa Somalia
Serikali ya Somalia inasema kuwa takriban wanamgambo 45 wa kundi la Al-Shabab wameuawa kwenye shambulizi la angani.
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
11 wauawa kambi ya Wakimbizi,Somalia
Idara za Usalama mjini Mogadishu,Somalia zimeeleza watu 11 wameuawa kutokana na mapigano yaliyozuka katika kambi ya wakimbizi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania