Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi 5 wauawa mpakani mwa Kenya na Somalia

Idara ya polisi nchini Kenya imesema kuwa polisi 5 na raia 2 wameuawa katika shambulizi mpakani mwa Kenya na Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia

Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kujenga ukuta mpakani Somalia

Waziri wa maswala ya ndani Kenya Joseph Nkaissery amesema kuwa ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia utaanza wiki hii.

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

11 years ago

CloudsFM

NDEGE YA MALAWI YAZUA HOFU MPAKANI MWA TANZANIA

“Kwa kuzingatia uhusiano uliopo kati ya Tanzania na Malawi, naomba mwongozo wako maana ndege za nchi hii sasa zinaingia hadi Tanzania na kuwatia hofu wananchi,” alisema Mbunge wa Ileje,Aliko Kibona.Kauli ya mbunge huyo imekuja wakati msimamo rais wa Malawi, Profesa Peter Mutharika kuhusu mzozo uliopo kati ya nchi hiyo na Tanzania kuhusu Ziwa Nyasa ukiwekwa bayana hatakuwa na mjadala kuhusu mpaka wa nchi hizo akidai kuwa Ziwa Nyasa ni la Malawi pekee.Kibona alisema kwa takriban wiki mbili...

 

10 years ago

GPL

AJALI MBAYA YA MOTO MPAKANI MWA ZAMBIA NA KONGO

Magari makubwa yakiwaka moto baada ya moto huo kuzuka maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na Kongo. Picha tofauti juu zikionesha baadhi ya majeruhi wa ajali hiyo ya moto. Ajali mbaya ya moto imetokea  jana majira ya saa kumi na moja jioni maeneo ya Kasumbalesa, mpakani mwa Zambia na…

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya

Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walinzi 20 wa mpakani wauawa Misri

Maafisa nchini Misri wanasema kuwa takriban walinzi 20 wa mpakani wameuawa katika shambulizi la kizuizi huko libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa Mashariki mwa DRC

Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Shabab watwaa mji kusini mwa Somalia

Al-Shabab wanasema wameutwaa mjini wa Janale kusini mwa Somalia ambako wanajeshi wa Muungano wa Afrika waliuawa mapema mwezi huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani