WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
10 years ago
BBCSwahili13 Dec
Watu 3 wauawa katika vita Somalia
10 years ago
GPL
MLIPUKO WA BOMU WAUA SOMALIA
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Mlipuko wa bomu wasababisha vifo-Somalia
11 years ago
BBCSwahili03 May
Mlipuko wa bomu waua sita Somalia
11 years ago
MichuziARUSHA TENA....! WATU NANE WANADAIWA KUJERUHIWA VIBAYA NA BOMU NDANI YA MGAHAWA
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Wanajeshi wa Somalia wauawa kwa Bomu