Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu

Watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa baada milipuko miwili kutokea karibu na soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA

Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa SomaliaDuru za habari nchini Somalia zimeripoti kujiri mripuko wa bomu Jumapili usiku katika mji wa Baidoa, kusini mwa nchi hiyo.Kwa mujibu wa ripoti, bomu hilo liliripuka wakati wa sherehe za Idul-Fitr katika mji huo. Aidha duru za habari zimearifu kwamba katika hujuma hiyo kwa akali watu watano wameuawa na wengine 20 wamejeruhiwa. Hadi sasa hakuna kundi lililotangaza kuhusika na shambulizi hilo, ingawa inadhaniwa kwamba kundi la kigaidi la ash-Shabab ndilo lililotekeleza jinai hiyo. Kundi la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la Bomu Nigeria:Watu 13 wafa

Watu 13 wapoteza maisha baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga kwenye basi la Abiria

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria

Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 30 Libya

Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari huko Libya

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria

Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka

 

11 years ago

Habarileo

Watu 6 wafa katika matukio tofauti

WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria

Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria

Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.

 

5 years ago

BBCSwahili

Watu 40 wafa maji katika mafuriko DRC

Nyumba 5,500 zimesombwa na maji ya mafuriko hayo yaliyowaathiri watu 77,790.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani