Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu
Watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa baada milipuko miwili kutokea karibu na soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog25 May
WATU 25 WAUAWA NA KUJERUHIWA KATIKA MLIPUKO WA BOMU KUSINI MWA SOMALIA
![Watu 25 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu kusini mwa Somalia](https://media.parstoday.com/image/4bsf62bea2a6c61djed_800C450.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Feb
Shambulio la Bomu Nigeria:Watu 13 wafa
Watu 13 wapoteza maisha baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga kwenye basi la Abiria
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria
Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Mlipuko wa bomu wawaua watu 30 Libya
Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari huko Libya
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria
Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka
11 years ago
Habarileo04 Apr
Watu 6 wafa katika matukio tofauti
WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Watu 46 wauawa katika mlipuko Nigeria
Zaidi ya watu 46 wameripotiwa kufa katika milipuko miwili iliyotokea jos Nigeria
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria
Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.
5 years ago
BBCSwahili18 Apr
Watu 40 wafa maji katika mafuriko DRC
Nyumba 5,500 zimesombwa na maji ya mafuriko hayo yaliyowaathiri watu 77,790.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania