Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria
Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria
Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka
10 years ago
BBCSwahili20 Feb
Mlipuko wa bomu wawaua watu 30 Libya
Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari huko Libya
10 years ago
BBCSwahili11 Aug
Mlipuko wawaua watu 47 Nigeria
Jeshi nchini Nigeria linasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa katika soko moja kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno ambapo watu 47 wamefariki huku wengine 55 wakijeruhiwa katika mji wa sabon gari.
10 years ago
BBCSwahili07 Jan
Mlipuko wa bomu wawaua 30 Yemen
Mlipuko mmoja umetokea katika gari nje ya chuo cha mafunzo ya Polisi katika mji mkuu wa Yemen-Sanaa.
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad
Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu
Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Mlipuko wawaua 17 Maiduguri,Nigeria
Watu 17 wameuawa mwenye mlipuko wa bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari mjini Maiduguri Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mlipuko msikitini wawaua watu 25 Syria
Wanaharakati nchini Syria wanasema kuwa mlipuko kwenye msikiti mmoja katika mkoa ulio kaskazini magharibi wa Idlib umewaua takriban wanachama 25 wa kundi lenye uhusiano na kundi la Al-Qaeda la Al Nusra Front.
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Mlipuko wawaua watu wawili nchini Misri
Kumekuwa na mlipuko karibu na jumba la wizara ya maswala ya kigeni nchini Misri.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania