Shambulio la Bomu Nigeria:Watu 13 wafa
Watu 13 wapoteza maisha baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga kwenye basi la Abiria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 May
Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu
Watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa baada milipuko miwili kutokea karibu na soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria
Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria
Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Shambulio la bomu laua watano, Somalia
Mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa ndani ya gari umetokea karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mogadishu nchini Somalia.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen
Watu 12 wameuawa kwenye shambulio la bomu katika msikiti mmoja Sanaa siku mbili baada ya Rais wa Yemen Abdrabbuh Hadi kurudi Aden.
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Shambulio lawaua watu 9 kanisani US
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Shambulio la Syria laua watu kumi
Shambulio la bomu lililotekelezwa kwenye kikosi cha ulinzi cha wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria limeua watu kumi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania