Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulio la Bomu Nigeria:Watu 13 wafa

Watu 13 wapoteza maisha baada ya Mtu mmoja kujitoa muhanga kwenye basi la Abiria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watu 10 wafa katika mlipuko wa bomu

Watu 10 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 70 kujeruhiwa baada milipuko miwili kutokea karibu na soko kubwa la nguo la Gikomba mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 23 Nigeria

Watu 23 wameuawa Kaskazini mwa Nigeria wakati mabomu yaliyokuwa yameachwa nyuma na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram yalipolipuka

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 25 wauawa kwa Bomu Nigeria

Watu 25 wameuawa kwa shambulio la bomu mjini Kaduna nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa bomu wawaua watu 20 Nigeria

Takriban watu 20 wamefariki kutokana na mlipuko wa bomu katika mji wa kaskazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa kwa Bomu nchini Nigeria

Takriban Watu 17 wameuawa kwa Bomu mjini Biu nchini Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la bomu laua watano, Somalia

Mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa ndani ya gari umetokea karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mogadishu nchini Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Shambulio la bomu laua watu12 msikitini Yemen

Watu 12 wameuawa kwenye shambulio la bomu katika msikiti mmoja Sanaa siku mbili baada ya Rais wa Yemen Abdrabbuh Hadi kurudi Aden.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio lawaua watu 9 kanisani US

Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani

 

9 years ago

BBCSwahili

Shambulio la Syria laua watu kumi

Shambulio la bomu lililotekelezwa kwenye kikosi cha ulinzi cha wakurdi kaskazini mashariki mwa Syria limeua watu kumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani