Shambulio lawaua watu 9 kanisani US
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 May
Shambulio la sokoni Uchina lawaua 31
Watu ambao hawajafahamika wameshambulia soko kalika mji wa Urumqi na kuwauwa watu 31 kwa mujibu wa vyomba vya habari vya Uchina
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QgTREgG9e*0VGP2ttlL8oEZGls0Vr57XvzM60UE6C8ZknVoT*rJi-K6zBNvNmpX6eZBqhtj5qH7aohpyfvUEmqEt*8vOoax/1.jpg?width=650)
TISA WAUAWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI MAREKANI
Hali ya sintofahamu ikitanda katika eneo la Charleston baada ya kutokea shambulio hilo. Askari wakiwa katika harakati za kuimarisha ulinzi eneo la tukio. Barabara zikifungwa. Waumini wa kanisa la AME na watu wa majirani wa eneo la tukio wakiwa katika majonzi baada ya kutokea…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQLpMoBxJ42qmG*hlyzGxRhKh3c0p3dUd80rlGqQ2CH6jEwtQhs199f5En1fOdMbTFr-yeLCxzvlnx9l-rrT1jvP/babasatrin.jpg?width=550)
MTOTO ALIYEJERUHIWA KATIKA SHAMBULIO KANISANI AFIKISHWA NAIROBI KWA MATIBABU
Mtoto Satrin akiwa amebebwa na baba yake mzazi Benson Osinya ndani ya ndege kuelekea jijini Nairobi kwa matibabu. MTOTO Satrin Osinya aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mama yake katika shambulio la kigaidi lililofanywa kwenye kanisa la Joy of Jesus huko Likoni, Mombasa nchini Kenya Jumapili iliyopita, jana amefikishwa jijini Nairobi kwa matibabu. Mtoto Satrin Osinya wakati akipatiwa matibabu mjini Mombasa baada ya...
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Shambulizi la Israel lawaua watu 10
Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu kumi katika shule moja ya umoja wa mataifa
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi lawaua watu 4 Burundi
Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko lawaua watu 40 Nepal
Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Lori la mafuta lawaua watu 70 Nigeria
Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto.
10 years ago
BBCSwahili28 Sep
Jivu la Volkano lawaua watu 30 Japan
Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Boko Haram lawaua watu 10 Cameroon
Takriban watu 10 wameuawa kazkazini mwa Cameroon katika shambulio baya lililotekelezwa na kundi hatari la kiislamu la Boko Haram.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania