Shambulio la sokoni Uchina lawaua 31
Watu ambao hawajafahamika wameshambulia soko kalika mji wa Urumqi na kuwauwa watu 31 kwa mujibu wa vyomba vya habari vya Uchina
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Shambulio lawaua watu 9 kanisani US
Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya
Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi lawaua watu 4 Burundi
Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia
Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
10 years ago
BBCSwahili12 May
Tetemeko lawaua watu 40 Nepal
Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40
10 years ago
BBCSwahili20 Jun
Al Shabaab lawaua maafisa 15 wa usalama
Wanamgambo wamewaua karibu walinda usalama 15 nchini Somalia baada ya kufanya shambulizi katika mji ulio karibu na mji mkuu Mogadishu.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulizi lawaua watoto 6 Libya
Watoto sita wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti.
10 years ago
BBCSwahili02 May
Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria
Ripoti kutoka Syria zinasema kuwa zaidi ya raia 50 wameuawa kwenye shambulizi la angani lililoendeshwa na muungano wa Marekani.
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Shambulizi la Israel lawaua watu 10
Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu kumi katika shule moja ya umoja wa mataifa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania