Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi lawaua watoto 6 Libya

Watoto sita wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la Israel lawaua watu 10

Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu kumi katika shule moja ya umoja wa mataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria

Ripoti kutoka Syria zinasema kuwa zaidi ya raia 50 wameuawa kwenye shambulizi la angani lililoendeshwa na muungano wa Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua wanajesi 3 wa Saudia

Saudi Arabia inasema kuwa maafisa 3 wa kijeshi wa taifa hilo wameuawa na kombora lililofyatuliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua watu 4 Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

 

10 years ago

StarTV

Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi


Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.

Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.

Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.

Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:Mshukiwa wa shambulizi mahakamani

Mmoja ya washukiwa wakuu wa shambulizi lililomuua balozi wa Marekani nchini Libya afika mbele ya mahakama nchini Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikosi vya Libya vyatibua shambulizi

Shambulizi lililolenga kituo cha mafuta mashariki mwa Libya halikufua dafu baada ya vikosi vya serikali kufanya mashambulizi.

 

10 years ago

Vijimambo

JENERETA LAWAUA BABA, MAMA NA WATOTO WOTE

Mwili wa mama, na wa mmoja wa watoto unaonekana kwa mbali nyuma yakeMume, mke na watoto wao watatu wamefariki dunia baada ya kupumua hewa iliyojaa gesi ya “carbon monoxide” iliyokuwa ikitolewa na generator waliloliwasha ndani ya nyumba yao .Katika dhahama hiyo iliyotokea Lagos, Nigeria, miili ya wahanga wote watano iligunduliwa na majirani zao. Majirani wameripoti kuwa baba wa familia hiyo alinunua generator siku mbili kabla ya kukutwa na umauti, na kuliweka chumbani kwake akihofia kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani