Vikosi vya Libya vyatibua shambulizi
Shambulizi lililolenga kituo cha mafuta mashariki mwa Libya halikufua dafu baada ya vikosi vya serikali kufanya mashambulizi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jun
Libya:Mshukiwa wa shambulizi mahakamani
Mmoja ya washukiwa wakuu wa shambulizi lililomuua balozi wa Marekani nchini Libya afika mbele ya mahakama nchini Marekani.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulizi lawaua watoto 6 Libya
Watoto sita wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti.
10 years ago
GPL
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
Elnest Mangu. TANZANIA tuna majeshi kadhaa na vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotambulika kisheria. Tunalo Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza. Chini yake, JWTZ unawakuta JKT, kwa polisi, tunao Zimamoto, FFU, Usalama barabarani (Trafiki) na Mgambo. Majeshi na vikosi hivi vina majukumu yanayofahamika na kukubalika. Kwa hiyo haishangazi tunapoona polisi wakitumika kuwakamata majambazi, ambao wakati mwingine...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO
Na Luteni Kanali Juma Nkangaa Sipe
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO MACHI
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...
11 years ago
GPLVIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA
Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Simba SC. KIKOSI CHA YANGA SC 1. Deo Munish "Dida" - 30
2. Juma Abdul - 12
3. Oscar Joshua - 3
4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23
5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5
6. Mbuyu Twite - 6
7. Hassan Dilunga - 26
8. Haruna Niyonzima - 8
9. Geilson Santana "Jaja" - 9
10. Mrisho Ngasa - 17
11. Andrey Coutinho - 7
Subs:
1.… ...
11 years ago
BBCSwahili24 Aug
Vikosi vya Iraq vyawakabili wapiganaji
Wanajeshi wa serikali ya Iraq wanasema kuwa wamelikabili shambulizi moja la wanamgambo katika kiwanda kikuu cha mafuta.
11 years ago
GPL
VIKOSI VYA LEO ARSENAL VS MANCHESTER CITY
Mabingwa wa Kombe la FA, Arsenal leo wanamenyana na Manchester City ambao ni Mabingwa wa Ligi Kuu England katika mechi ya kuwania Ngao ya Jamii itakayopigwa Uwanja wa Wembley. Pichani juu ni vikosi vya timu hizo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania