VIKOSI VYA LEO SIMBA VS YANGA
Wachezaji wa timu ya Yanga SC. Kikosi cha timu ya Simba SC. KIKOSI CHA YANGA SC 1. Deo Munish "Dida" - 30 2. Juma Abdul - 12 3. Oscar Joshua - 3 4. Nadir Haroub "Cannavaro" - 23 5. Kelvin Yondani "Cotton" - 5 6. Mbuyu Twite - 6 7. Hassan Dilunga - 26 8. Haruna Niyonzima - 8 9. Geilson Santana "Jaja" - 9 10. Mrisho Ngasa - 17 11. Andrey Coutinho - 7 Subs: 1.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MTANANGE WA YANGA NA SIMBA VIKOSI VYATAJWA
![](http://udakunews.com/wp-content/uploads/2014/09/simbayanga.jpg)
Deogratius Munisi "Dida" Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub "Cannavaro" Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Hassan Dilunga, Haruna Niyonzima, Genilson Santos "Jaja", Mrisho Ngasa, Andrey Coutinho.
BENCHI LA AKIBA
Juma Kaseja, Salum Telela, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Simon Msuva, Hamis Kiiza na Jerson Tegete.
KIKOSI CHA SIMBA
Manyika Peter, William Lucian, Mohamed Husseni, Hassan Shaka, Joseph Owino, Jonas Mkude, Haruna Chanongo, Said Ndemla, Elias Maguri, Amri Kiemba na Emanueli Okwi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnXNieA6xtWkJcmf9st1TUWEpwCUlT04huAd0f5pw84qZVaj*2oJro*DsCsqwC-h4A4QnkfU*4EJEi1Uinc2EyHY/arsenal.jpg)
VIKOSI VYA LEO ARSENAL VS MANCHESTER CITY
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO MACHI
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6bKGt3yZ0C9BFsTciWMv*eizMHfqQZ*KHInUyjXJ2VlN5tt4BXqPsavplTWHvbLIpWL7G6URVPu0xtYmUGNFAi/1.jpg)
Maximo atangaza vikosi 2 Yanga
10 years ago
Vijimambo14 Oct
VIINGILIO VYA SIMBA NA YANGA HIVI HAPA
Washabiki watakaolipa kiingilio hicho ni wale watakaokaa viti vya rangi ya bluu na kijani ambavyo jumla yake ni 36,693 katika uwanja huo wenye viti 57,558. Viingilio vingine ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 20,000 kwa VIP B na C wakati VIP A itakuwa sh. 30,000.
Tiketi zitakazotumika kwenye mechi hiyo ni za...
9 years ago
Habarileo28 Oct
Yanga, Simba leo tena
MIAMBA ya soka nchini Simba na Yanga leo itakuwa kwenye viwanja tofauti katika mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.