Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shambulizi la Israel lawaua watu 10

Ripoti za hivi karibuni zinaarifu kuwa shambulizi la angani la Israel limewauwa watu kumi katika shule moja ya umoja wa mataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua watu 4 Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

 

10 years ago

StarTV

Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi


Burundi

Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.

Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.

Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.

Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.

Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya

Watu 6 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh,mjini Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria

Ripoti kutoka Syria zinasema kuwa zaidi ya raia 50 wameuawa kwenye shambulizi la angani lililoendeshwa na muungano wa Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua watoto 6 Libya

Watoto sita wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa nchini Libya baada ya shule yao mjini Benghazi kushambuliwa kwa guruneti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulizi lawaua wanajesi 3 wa Saudia

Saudi Arabia inasema kuwa maafisa 3 wa kijeshi wa taifa hilo wameuawa na kombora lililofyatuliwa na waasi wa Houthi nchini Yemen

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio lawaua watu 9 kanisani US

Polisi katika jimbo la South Carolina nchini Marekani wamesema mtu aliyejihami kwa bunduki amewapiga risasi na kuwaua watu 9 kanisani

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko lawaua watu 40 Nepal

Wakuu nchini Nepal sasa wamethibitisha kuwa idadi ya watu waliokufa kutokana na tetemeko jingine jipya lililotokea nchini humo, imepanda na kufikia zaidi ya watu 40

 

10 years ago

BBCSwahili

Jivu la Volkano lawaua watu 30 Japan

Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani