Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria
Ripoti kutoka Syria zinasema kuwa zaidi ya raia 50 wameuawa kwenye shambulizi la angani lililoendeshwa na muungano wa Marekani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Aug
Shambulizi la Israel lawaua watu 10
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Shambulizi lawaua watu 4 Burundi
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Shambulizi lawaua watoto 6 Libya
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Shambulizi lawaua wanajesi 3 wa Saudia
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
Shambulizi la kigaidi lawaua 6 Kenya
10 years ago
StarTV29 Jun
Shambulizi la Guruneti lawaua watu 4 Burundi
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/18/150518160556_burundi_640x360__nocredit.jpg)
Burundi
Polisi nchini Burundi wanasema kuwa watu wanne wameuawa na wengine karibu 30 kujeruhiwa kwenye mashambulizi ya guruneti Jumapili usiku.
Mashambulizi hayo yalifanyika katika miji mitatu ukiwemo mji mkuu Bujumbura.
Polisi wanasema kuwa guruneti hizo zilirushwa na wafuasi wa upinzani ambao wanataka kuvuruga uchaguzi mkuu unaokuja.
Siku ya ijumaa watu 11 walijeruhiwa kwenye misururu ya mashambulizi ya guruneti.
Burundi imekumbwa na ghasia zilizoendeshwa na wapinzani wa rais Nkurunziza...
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
13 wauawa kwenye shambulizi Syria
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuEzvavmqzMTrvfLUPH9nbSc8Twz3W4JB4dqFRl7LD*YH1M3zjYhzYaTxPLCM9*bnvXgjREckKkPwF4RXqmzB9q/usarmyaircraftmo328.jpg?width=650)
NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA