NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA
![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuEzvavmqzMTrvfLUPH9nbSc8Twz3W4JB4dqFRl7LD*YH1M3zjYhzYaTxPLCM9*bnvXgjREckKkPwF4RXqmzB9q/usarmyaircraftmo328.jpg?width=650)
Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMaonyesho ya ndege za kivita Washington DMV Sept 19, 2015
Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa. Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji.
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Ndege za Pakistan zaua Taliban 15
9 years ago
MichuziMaonesho ya ndege za kivita Washington DMV Jana Sept 19, 2015
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Waasi wa Houthi wadungua ndege ya kivita ya Saudi Arabia nchini Yemen
10 years ago
BBCSwahili02 May
Shambulizi la muungano lawaua 50 Syria
10 years ago
BBCSwahili05 Jul
Majeshi ya muungano yashambulia IS Syria
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Obama apitisha ndege za uchunguzu:Syria
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Ndege za Ulaya zashambulia wanajeshi wa Syria
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria