Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndege za Ulaya zashambulia wanajeshi wa Syria

Kundi moja linalopigania haki za kibinadamu Syrian Observatory limesema wanajeshi wengine 13 walijeruhiwa vibaya katika shambulizi hilo katika kambi ya jeshi ya Saeqa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

9 years ago

BBCSwahili

Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi

Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib

Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama apitisha ndege za uchunguzu:Syria

Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha ndege za ufuatiliaji juu ya Syria kupata habari zaidi.

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE

Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria

Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yadungua ndege mpaka wake na Syria

Ndege za kijeshi za Uturuki zinaripotiwa kudungua ndege ya kijeshi isiyojulikana karibu na mpaka wake na Syria.

 

10 years ago

GPL

NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA

Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani