Ndege za Ulaya zashambulia wanajeshi wa Syria
Kundi moja linalopigania haki za kibinadamu Syrian Observatory limesema wanajeshi wengine 13 walijeruhiwa vibaya katika shambulizi hilo katika kambi ya jeshi ya Saeqa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Syria yasema mauaji ya wanajeshi ni uchokozi
Serikali ya Syria imesema shambulio lililotekelezwa mashariki mwa nchi hiyo na kusababisha vifo vya wanajeshi wake watatu ni uchokozi.
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib
Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Wanajeshi wa US wafariki ajali ya ndege Afghanistan
Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki baada ya ndege ya kijeshi ya nchi hiyo aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Obama apitisha ndege za uchunguzu:Syria
Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha ndege za ufuatiliaji juu ya Syria kupata habari zaidi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0arfMbWOi0d-IQmKo*GloCtdUwxkG5zlnn36Y3sfEQF74OFygG0qEwr2MOkVUSlw8YV5l8qme88pWEO12-gGr2/_78388915_78388844.jpg?width=650)
MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE
Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Urusi na Marekani zaafikiana kuhusu ndege Syria
Urusi na Marekani zimetia saini makubaliano yanayotarajiwa kuzuia kushambuliana kwa ndege za kijeshi za nchi hizo nchini Syria.
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Uturuki yadungua ndege mpaka wake na Syria
Ndege za kijeshi za Uturuki zinaripotiwa kudungua ndege ya kijeshi isiyojulikana karibu na mpaka wake na Syria.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBuEzvavmqzMTrvfLUPH9nbSc8Twz3W4JB4dqFRl7LD*YH1M3zjYhzYaTxPLCM9*bnvXgjREckKkPwF4RXqmzB9q/usarmyaircraftmo328.jpg?width=650)
NDEGE ZA MUUNGANO ZA KIVITA DHIDI YA DAESH ZAUA 66 SYRIA
Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria zimefanya mashambulio katika maeneo kadhaa na kuua raia 66 wa nchi hiyo. Harakati ya Kutetea Haki za Binadamu iliyoko nchini Uingereza inayoitwa Syrian Observatory for Human Rights 'SOHM' imeeleza kuwa, raia 66 wa Syria wakiwemo watoto 10 na wanawake 6 wameuawa katika mashambulio yaliyofanywa na ndege za kivita za muungano...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania