Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uturuki yadungua ndege mpaka wake na Syria

Ndege za kijeshi za Uturuki zinaripotiwa kudungua ndege ya kijeshi isiyojulikana karibu na mpaka wake na Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

IS:Yadungua ndege ya jeshi la muungano

Wapiganaji wa Islamic State nchini Syria wamedai kuidungua ndege ya kivita ya muungano wa jeshi unaoongozwa na Marekani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria

Wanajeshi wa kikurdi Iraq wameripotiwa kukomboa tena mpaka muhimu kuingia nchini Syria kutoka kundi la dola la kiislam Islamic state

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria. Wanajeshi wa Uturuki 33 wauawa katika mashambulio Idlib

Uturuki imeanza kulipiza kisasi kwa kuyalenga, kuyashambulia maeneo ya serikali ya Syria, vinasema vyombo vya habari vya Syria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria : Harakati za kijeshi za Uturuki mjini Idlib 'zinasubiri muda tu'

Kiongozi wa Uturuki ameionya Syria juu ya mashambulizi makubwa dhidi ya waasi katika jimbo la kaskazini.

 

5 years ago

CCM Blog

WIZARA YA ULINZI YA RUSSIA YATOA JIBU KWA CHOKOCHOKO ZA UTURUKI NDANI YA ARDHI YA SYRIA

Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya SyriaWizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.Taarifa iliyotolewa mapema leo na Wizara ya Ulinzi ya Russia imeashiria utumaji silaha kwa magaidi walioko katika eneo la Idlib, unaofanywa kutokea Uturuki na kueleza kuwa, hali ya wasiwasi inayoshuhudiwa Idlib imejitokeza baada ya magaidi kushambulia maeneo yaliyoko jirani na mkoa huo wa kaskazini magharibi mwa Syria.Taarifa hiyo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi

Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama apitisha ndege za uchunguzu:Syria

Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha ndege za ufuatiliaji juu ya Syria kupata habari zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani