Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi
Rais wa Uturuki ameonyesha kujuta kwamba Uturuki iliidungua ndege ya kijeshi ya Urusi karibu na mpaka wa taifa hilo na Syria,lakini hakuomba msamaha kwa tukio hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Putin:Uturuki itajuta kuidungua ndege yetu
9 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Urusi yakatiza Uhusiano na Uturuki
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki kurejesha mwili wa rubani wa Urusi
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Urusi yafungiwa kusajili wachezaji wa Uturuki
MOSCOW, URUSI
KLABU za nchini Urusi zimefungiwa kufanya usajili kwa wachezaji wa nchini Uturuki kuanzia Januari mwakani kutokana na migogoro ya kisiasa.
Nchi hizi mbili zimekuwa na migogoro ya kisiasa, ambapo wiki iliyopita ndege ya kivita ya nchini Urusi ililipuliwa na jeshi la nchini Uturuki kwenye mpaka wa Syria, Novemba 24 mwaka huu na kuua rubani mmoja huku mwingine akiwa salama.
Waziri wa Michezo nchini Urusi, Vitaly Mutko, aliliambia gazeti la R-Sport new la nchini humo kwamba, hakuna...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Urusi imeiwekea Uturuki vikwazo vya kiuchumi
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Misa ya wahanga wa ajali ya ndege ya Urusi
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ndege za Misri zapigwa marufuku Urusi